Katika dunia tunayoishi sasa michezo ni sekta inayoshikilia uchumi mkubwa. Wanamichezo wengi wamekuwa mabilionea kwa sababu tu ya michezo. Kwa mfano mchezo wa soka, umegeuka kuwa nguzo kubwa ya uchumi siyo wa mchezaji mmoja mmoja tu, bali hata kwa mataifa wanakotoka.
Kwa Tanzania, ukiacha imani...
Na Mwandishi Wetu
KAMPUNI ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme (ETDCO) imeahidi kukamilisha kwa wakati mradi wa kusambaza umeme katika vitongoji 372 wenye thamani ya shilingi bilioni 37.9, Mkoani Ruvuma.
Akizungumza katika hafla ya makabidhiano ya utekelezaji wa mradi...