Polisi feki wakamatwa Pemba

Na Mwandishi Wetu

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kaskazini Pemba, linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kujifanya askari Polisi wa kitengo cha uchunguzi wa magari yaliyoibiwa.

Watuhumiwa hao ni Abdulkadir Uwiso (55) mfanyakazi wa kampuni ya ulinzi na mkazi wa Buza na Khalfani Molo (60) mfanyabiashara wa Ilala Bungoni, jijini Dar es Salaam.

Kwa mujibu wa taarifa ya Polisi Mkoa Kaskazini Pemba, watu hao walifika katika Kijiji cha Konde na kujitambulisha kuwa ni maafisa wa Polisi kutoka Makao Makuu ndogo ya Polisi Dar es Salaam, kitengo cha uchunguzi wa magari yaliyoibiwa.

Taarifa hiyo inasema kuwa watuhumiwa hao walikamatwa katika Stendi ya Konde wakiwa tayari wamekamata gari moja ya abiria aina ya Coaster yenye namba za usajili Z510MY ambapo walimtaka dereva wa gari hiyo, Said Nassor Ali kituoni wakidai ni gari la wizi lililoibiwa Msumbiji.

Baada ya watuhumiwa kufanyiwa upekuzi walikutwa na redio call moja, funguo ya pingu na filimbi ya Jeshi la Polisi.

spot_img

Latest articles

Ofisi ya Msajili wa Hazina yatoa wito wa utawala bora kuimarisha uwekezaji wa umma

Na Mwandishi Wetu OFISI ya Msajili wa Hazina (OMH) imesisitiza kuwa mustakabali wa mafanikio...

TTB yamkaribisha bingwa wa Masumbwi duniani Terence kwa ziara ya utalii

Na Mwandishi Wetu MKURUGENZI wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Ephraim Mafuru, amemkaribisha nchini...

DAWASA yasisitiza matumizi ya bidhaa za ndani kuimarisha huduma ya maji

Na Mwandishi Wetu MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA)...

DCEA yateketeza kilo 504.36 za Heroin Mtwara

Na Mwandishi Wetu, Mtwara MAMLAKa ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imeteketeza...

More like this

Ofisi ya Msajili wa Hazina yatoa wito wa utawala bora kuimarisha uwekezaji wa umma

Na Mwandishi Wetu OFISI ya Msajili wa Hazina (OMH) imesisitiza kuwa mustakabali wa mafanikio...

TTB yamkaribisha bingwa wa Masumbwi duniani Terence kwa ziara ya utalii

Na Mwandishi Wetu MKURUGENZI wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Ephraim Mafuru, amemkaribisha nchini...

DAWASA yasisitiza matumizi ya bidhaa za ndani kuimarisha huduma ya maji

Na Mwandishi Wetu MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA)...