Na Mwandishi Wetu
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kaskazini Pemba linachunguza tukio la kujinyonga kwa watoto wawili wa kike wenye umri wa miaka 11, lilitokea katika Kijiji cha Kwale Mpona, Wilaya ya Wete, mkoani humo na kusema uchunguzi wa awali unaonesha sababu ni kukataa kufanya...
Na Winfrida Mtoi
Kikosi cha Yanga kimetua visiwani Zanzibar kwa maandalizi ya kuikabili AS FAR Rabat ya Morocco katika mchezo wa kwanza wa hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika utakaopigwa Novemba 22,2025 kwenye Uwanja wa New Amaan Complex.
Yanga imeondoka leo Novemba 18, 2025 jijini...