Na Mwandishi Wetu
WAZIRI wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amesema kuwa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linaendelea kutekeleza miradi ya kimkakati ya uzalishaji, usafirishaji na usambazaji wa umeme kwa ufanisi mkubwa, hatua inayoliwezesha taifa kusonga mbele katika kujenga mfumo madhubuti wa upatikanaji wa nishati...
Na Mwandishi Wetu, Mtera
NAIBU Waziri wa Nishati, Salome Makamba, Novemba 26, 2025, alitembelea na kukagua Kituo cha kuzalisha umeme cha Mtera kilichopo mpakani mwa mikoa ya Iringa na Dodoma, na kuridhishwa na hali ya uzalishaji wa umeme katika kituo hicho muhimu kinachozalisha umeme kwa...