Nyota JKT Queens aipigia hesabu Asec Mimosa

Na Winfrida Mtoi

Mshambuliaji wa JKT Queens FC, Jamila Rajabu, amesema  amejipanga  kutengeneza  nafasi na kufunga mabao katika mchezo wa pili wa hatua ya makundi dhidi ya Asec Mimosa ya Ivory Coast  kwenye  michuano ya  Ligi ya Mabingwa Afrika inayoendelea katika jiji la Ismailia, Misri.

JKT Queens ambayo ni mwakilishi pekee wa Tanzania na Afrika Mashariki katika michuano hiyo, itaivaa Asec Mimosa kesho Novemba 12, 2025. Mchezo wa kwanza ilikutana Gaborone United na kutoka sare ya bao 1-1.

Jamila amesema katika mchezo uliopita walikuwa na mapungufu katika eneo la mwisho, hali iliyochangia kushindwa kupanda ushindi licha ya kupata nafasi kadhaa za kufunga.

Amesema benchi la ufundi tayari limefanyia kazi mapungufu hayo kwa sasa kikosi kipo katika hali nzuri na wana malengo makubwa ya kuibuka na ushindi katika mchezo huo.

spot_img

Latest articles

Tume Jaji Chande imekwepa kututajia aliyekutwa na ngozi ya ng’ombe

NINGALI ninaitafakari ripoti ya Jaji Mohammed Chande ya matukio ya Oktoba 2025 wakati na...

Adaiwa kumuua mtalaka wake kwa panga kisa nguvu za kiume

Na Mwandishi Wetu JESHI la Polisi mkoani Lindi linamshikilia Hassan Athuman Mpogo (46), mvuvi na...

Rais Ruto kuhutubia Bunge Tanzania

Na Mwandishi Wetu RAIS wa Kenya, William Ruto, anatarajiwa kuhutubia Bunge la Tanzania Mei 5,...

Mwigizaji, msanii wa Bongo Flava wafariki dunia

Na Mwandishi Wetu MSANII wa filamu nchini, Hashim Kambi, amefariki dunia leo alasiri akiwa anapatiwa...

More like this

Tume Jaji Chande imekwepa kututajia aliyekutwa na ngozi ya ng’ombe

NINGALI ninaitafakari ripoti ya Jaji Mohammed Chande ya matukio ya Oktoba 2025 wakati na...

Adaiwa kumuua mtalaka wake kwa panga kisa nguvu za kiume

Na Mwandishi Wetu JESHI la Polisi mkoani Lindi linamshikilia Hassan Athuman Mpogo (46), mvuvi na...

Rais Ruto kuhutubia Bunge Tanzania

Na Mwandishi Wetu RAIS wa Kenya, William Ruto, anatarajiwa kuhutubia Bunge la Tanzania Mei 5,...