Kamati yatangaza uchaguzi mkuu TFF

Na Mwandishi wetu

Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Soka Tanzania imetangaza uchaguzi mkuu wa shirikisho hilo utakaofanyika Agosti 16, 2025 jijini Tanga.

Taarifa ya Mwenyekiti wa kamati hiyo, Wakili Kiomoni Kibamba imeeleza kuwa, nafasi zinazogombewa ni Rais wa TFF (nafasi moja) pamoja na Wajumbe wa Kamati ya Utendaji (nafasi sita)

Kwa mujibu wa taarifa hiyo, gharama za kuchukua fomu kwa nafasi ya Rais ni Sh 500,000 na nafasi za wajumbe wa Kamati ya Utendaji ni Sh 200,000.

Fomu zitaanza kutolewa makao makuu ya TFF na kwenye tovuti ya TFF kuanzia Juni 16-20, 2025.

spot_img

Latest articles

Media Brains yaandaa waandishi wa habari kwa uchaguzi mkuu

Na Mwandishi Wetu, Kigoma Waandishi wa habari mkoani Kigoma wamepewa mafunzo ya kuwasadaia kuandika vema...

Watoto 295 washindana kuogelea,

Na Winfrida Mtoi Watoto  295 wenye umri chini ya miaka 12,wamejitokeza katika mashindano ya mchezo wa  kuogelea...

Kamishna wa umeme na Nishati Jadidifu afanya ziara ya ukaguzi wa miradi ya umeme Dar

▪️Aridhishwa na hatua ya utekelezaji wa miradi
 ▪️Awataka wakandarasi kuzingatia viwango na TANESCO kuongeza usimamizi...

Kampeni ya pika Smart inayohamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia yazinduliwa

📌 Kamishna Luoga asisitiza matumizi ya umeme katika Nishati Safi ya Kupikia Na Mwandishi Wetu...

More like this

Media Brains yaandaa waandishi wa habari kwa uchaguzi mkuu

Na Mwandishi Wetu, Kigoma Waandishi wa habari mkoani Kigoma wamepewa mafunzo ya kuwasadaia kuandika vema...

Watoto 295 washindana kuogelea,

Na Winfrida Mtoi Watoto  295 wenye umri chini ya miaka 12,wamejitokeza katika mashindano ya mchezo wa  kuogelea...

Kamishna wa umeme na Nishati Jadidifu afanya ziara ya ukaguzi wa miradi ya umeme Dar

▪️Aridhishwa na hatua ya utekelezaji wa miradi
 ▪️Awataka wakandarasi kuzingatia viwango na TANESCO kuongeza usimamizi...