Na Mwandishi Wetu
KLABU ya Simba imeliandikia barua Jeshi la Polisi ili kuwachukulia hatua za kisheria wanachama na mashabiki wa klabu hiyo waliohusika na mkutano wa kutoa kashfa na maneno yasio ya staha kwa mwekezaji wao Mohamed Dewji (Mo).
Kwa mujibu wa taarifa rasmi...
Na Mwandishi Wetu
KLABU ya Simba imeliandikia barua Jeshi la Polisi ili kuwachukulia hatua za kisheria wanachama na mashabiki wa klabu hiyo waliohusika na mkutano wa kutoa kashfa na maneno yasio ya staha kwa mwekezaji wao Mohamed Dewji (Mo).
Kwa mujibu wa taarifa rasmi...
Katika dunia tunayoishi sasa michezo ni sekta inayoshikilia uchumi mkubwa. Wanamichezo wengi wamekuwa mabilionea kwa sababu tu ya michezo. Kwa mfano mchezo wa soka, umegeuka kuwa nguzo kubwa ya uchumi siyo wa mchezaji mmoja mmoja tu, bali hata kwa mataifa wanakotoka.
Kwa Tanzania, ukiacha imani...
Na Mwandishi Wetu
WAKALA wa Vipimo (WMA) umesimika mtambo wa kisasa wa kidijitali wa kuhakiki dira za maji katika jengo la makao yake makuu lililopo jijini Dodoma.
Meneja Uhakiki wa Vipimo na Viwango wa WMA Makao Makuu, Magesa Biyani amesema usimikaji mtambo huo uliogharimu takribani...