Na Tatu Mohamed
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Balozi Waziri Salum, amelipongeza Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania (TIRDO) kwa kazi kubwa linayofanya katika kukuza ubunifu na sekta ya viwanda nchini, huku akiiagiza kuongeza juhudi za kujitangaza ili wananchi...
Na Tatu Mohamed
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Balozi Waziri Salum, amelipongeza Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania (TIRDO) kwa kazi kubwa linayofanya katika kukuza ubunifu na sekta ya viwanda nchini, huku akiiagiza kuongeza juhudi za kujitangaza ili wananchi...
Na Mwandishi Wetu
Benki ya CRDB Bank kupitia CRDB Bank Foundation kwa kushirikiana na Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) na Kampuni ya Basil Link wamezindua mpango wa kimkakati wa ‘Imbeju – SmartElite’ wenye lengo la kuwawezesha vijana wa Kitanzania,...
Na Mwandishi Wetu
MAMLAKA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imetangaza mpango wa kuongeza idadi ya vyuo vyake kutoka 80 vya sasa hadi 152 ifikapo mwaka 2027, hatua inayotarajiwa kuongeza udahili wa wanafunzi hadi kufikia 250,000 kwa mwaka.
Hatua hiyo inalenga kusogeza huduma...