Na Mwandishi Wetu
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dkt. Natu Mwamba, amewapongeza wanawake wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa mchango wao mkubwa katika kusimamia na kuhamasisha ukusanyaji wa mapato ya serikali.
Akizungumza leo Machi 8, 2026 katika maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, Dkt....
Na Mwandishi Wetu
MCHUNGAJI wa Kanisa la Kiinjiri Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Kijitonyama Dk. Eliano Kimaro amesema serikali yoyote duniani haiwezi kuajira wahitimu wote katika nchi husika lazima kuwe na miradi ya familia ambayo itaweza kujiajiri na kuajiri.
Pia amewasihi wanafunzi wa shule ya Sekondari...