Kombe la Shirikisho hatua 32 Yanga yaangukia Polisi, Simba B19

Na Winfrida Mtoi

DROO ya hatua ya 32 wa Kombe la Shirikisho  msimu wa 2025/26, imefanyika leo Februari 24, 2026 ambapo Simba imepangwa  dhidi ya B19 FC huku Yanga ikiangukia  Polisi Tanzania.

Katika hatua iliyopita Yanga iliibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Cosmopolitan, wakati Simba ikiichapa Greenland mabao 3-0.

Hii hapa ratiba kamili ya michezo ya hatua 32

-Azam FC                vs        Mbeya Kwanza
– Singida Bs            vs        Songea United
-Geita Gold FC        vs        Nyika FC
– JKT Tanzania       vs        Hausang FC
– Coastal Union      vs        Stand United
– Yanga                  vs        Polisi Tanzania
-Simba                   vs        B19 FC
-Namungo              vs        Kagera Sugar
– Mbeya City           vs        Bandari FC
-Fountane Gate     vs        Gunners FC
-TRA United           vs        Kijiwe Nongwa FC
-Tanzania Prisons vs       TMA Stars
-Dodoma Jiji           vs        African Sports
-Pamba Jiji             vs        Transit Camps
-Mtibwa Sugar       vs        Mbuni FC
-Mashujaa FC         vs        Kengold FC

spot_img

Latest articles

Rais Mwinyi akagua Mji wa AFCON Fumba

Na Mwandishi WetuRAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali...

Sowah apigwa faini nzito  kwa utovu wa nidhamu, ashushwa U-20

Na Winfrida Mtoi UONGOZI wa Klabu ya Simba umeweka wazi hatua kali za kinidhamu zilizochukuliwa...

Waziri Mavunde aelekeza kusimamishwa kwa shughuli za uchimbaji Busulwangili-Kahama – Kahama

Na Mwandishi wetu, Dodoma WAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde, ameagiza kusimamishwa mara moja kwa...

DC Mkude akabidhi vyombo vya usafiri Tanesco Mkoa wa Arusha kuimarisha utoaji huduma

📌 Ni katika muendelezo wa mkakati wa TANESCO wa kuwahudumia wananchi kwa ufanisi zaidi. 📌...

More like this

Rais Mwinyi akagua Mji wa AFCON Fumba

Na Mwandishi WetuRAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali...

Sowah apigwa faini nzito  kwa utovu wa nidhamu, ashushwa U-20

Na Winfrida Mtoi UONGOZI wa Klabu ya Simba umeweka wazi hatua kali za kinidhamu zilizochukuliwa...

Waziri Mavunde aelekeza kusimamishwa kwa shughuli za uchimbaji Busulwangili-Kahama – Kahama

Na Mwandishi wetu, Dodoma WAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde, ameagiza kusimamishwa mara moja kwa...