Dkt Nchimbi atembelea banda la Tanesco

Na Mwandishi Wetu

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi ametembelea banda la Shirika la Umeme Tanzania ( TANESCO) kwenye kilele cha Maonesho ya Siku ya Mazingira Duniani yanayofanyika jijini Dodoma.

Mhe. Balozi Dkt. Nchimbi ametembelea banda la hilo leo Juni 5, 2026 ambapo amepata nafasi ya kuelezwa miradi mbalimbali inayotekelezwa na shirika hilo ikiwemo matumizi ya Nishati Safi ya kupikia kwa umeme pamoja na utunzaji wa mazingira kwenye vyanzo vya uzalishaji wa umeme.

Akitoa maelezo kwa Mhe.Balozi Dkt.Nchimbi Mkuu wa Kitengo cha Mazingira Wizara ya Nishati Emmilian Nyanda ameeleza kuwa TANESCO imekuwa ikifanya jitihada kubwa za kutoa elimu ya umuhimu wa Nishati Safi ya kupikia kwa Umeme kwa lengo la kuhakikisha kila mwananchi anashiriki kwenye suala la utunzaji wa Mazingira.

Maonesho ya mwaka ya mazingira 2026 yalikuwa na kauli mbiu isemayo Dira 2050, Tuwajibike Kukijanisha Tanzania.

spot_img

Latest articles

JAB yazindua mwongozo wa kisheria wa utoaji wa Ithibati ya maisha kwa waandishi

Na Mwandishi Wetu BODI ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imezindua rasmi Mwongozo wa...

BRELA YAIBUA FURSA MPYA ULINZI WA ALAMA ZA BIASHARA KWA WAJASIRIAMALI

Na Mwandishi Wetu Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) imewataka wajasiriamali wanaoshiriki...

TTB yakutanisha wadau kujadili mustakabali wa Destination Tanzania

Na Mwandishi Wetu Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) imewakutanisha wadau mbalimbali wa sekta ya...

Dkt. Jafar Seif: Banda la Ofisi ya Waziri Mkuu Sabasaba larahisisha upatikanaji wa huduma kwa wananchi

Na Mwandishi Wetu NAIBU Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za...

More like this

JAB yazindua mwongozo wa kisheria wa utoaji wa Ithibati ya maisha kwa waandishi

Na Mwandishi Wetu BODI ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imezindua rasmi Mwongozo wa...

BRELA YAIBUA FURSA MPYA ULINZI WA ALAMA ZA BIASHARA KWA WAJASIRIAMALI

Na Mwandishi Wetu Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) imewataka wajasiriamali wanaoshiriki...

TTB yakutanisha wadau kujadili mustakabali wa Destination Tanzania

Na Mwandishi Wetu Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) imewakutanisha wadau mbalimbali wa sekta ya...