Yacouba atambulishwa Mbeya City

Na Mwandishi Wetu

NYOTA wa zamani wa Yanga, raia wa Burkina Faso, Yacouba Songne, ametambulishwa  rasmi na  klabu ya Mbeya City akiwa miongoni mwa wachezaji waliosajiliwa katika kipindi cha dirisha dogo msimu huu ili kuimarisha kikosi hicho kinachonolewa na kocha  Mecky Mexime.

Yacouba raia wa Burkina Faso, amereja tena Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kukaa nje karibia nusu msimu kutokana kujitibia jeraha la goti. Amewahi kuzitumia klabu za Ihefu, Tabora United.

Wachezaji wengine walitua Mbeya City  kipindi cha dirisha dogo ni Said Naushad, Hijja Shamte  waliwahi kuitumikia  Kagera Sugar na  Abdallah Kulandana, akitokea Fountain Gate FC.

spot_img

Latest articles

“MADEREVA TANESCO KUWENI CHACHU UTOAJI HUDUMA BORA”

📌Watakiwa kutunza vyombo vya usafiri ili kuongeza ufanisi wa huduma 📌TANESCO yanunua vyombo vya usafiri...

Sasa itoshe kuvumilia uzembe huu

WIKI iliyopita zilisambaa habari za soko jipya la kisasa la Chuini lililojengwa kwa gharama...

CRDB yazindua msimu wa nne wa Zogo Mchongo, yasisitiza elimu ya fedha na matumizi ya teknolojia kukuza uchumi

Na Tatu Mohamed BENKI ya CRDB imezindua rasmi msimu wa nne wa kipindi cha Zogo...

More like this

“MADEREVA TANESCO KUWENI CHACHU UTOAJI HUDUMA BORA”

📌Watakiwa kutunza vyombo vya usafiri ili kuongeza ufanisi wa huduma 📌TANESCO yanunua vyombo vya usafiri...

Sasa itoshe kuvumilia uzembe huu

WIKI iliyopita zilisambaa habari za soko jipya la kisasa la Chuini lililojengwa kwa gharama...