Simba kuwania tuzo ya Klabu Bora Afrika, Kapombe mchezaji bora

Na Mwandishi Wetu

Klabu ya Simba imeteuliwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF), kuwania tuzo ya Klabu Bora Afrika (Club of the Year) kwa mwaka wa mashindano wa 2025.

Simba imeingia katika mchujo wa kuwania tuzo hiyo  ikichuana na timu 10 ambazo ni Cr Belouizdad, Constantine, Al hilal Omdurman, Zamalek, Stellenbosch, Rs Berkane, Mamelod Sundwons, Orlando Pirate, Pyramids pamoja na Asec Mimosas.

Kwa upande wa wachezaji, Nahodha wa klabu ya Simba, Shomari Kapombe ametajwa kwenye orodha ya wachezaji 10 wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa  klabu kwa Afrika kwa mwaka 2025.

Wachezaji wanaochuana nao ni  Fiston Kalala Mayele (Pyramids FC), Ismail Belkacemi (Al Ahli ya Libya),  lbrahim Blati Touré(Pyramids), Issoufou Dayo( aliyekuwa RS Berkane) na Emam Ashour (Al Ahly), Ibrahim Adel(aliyekuwa Pyramids), Mohamed Hrimat (AS FAR Rabat), Mohamed Chibi (Pyramids) na Oussama Lamlioui (RS Berkane).




spot_img

Latest articles

Waziri wa Nishati Ndejembi azindua rasmi mita janja

Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Nishati, Deogratius Ndejembi amezindua rasmi mita janja (smart meter)...

RC Kunenge: Mto Ruvu ubaki kwa matumizi ya binadamu tu, tusitishe shughuli nyingine kwa muda

Na Mwandishi Wetu MKUU wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ametoa wito kwa wakulima...

Tume ya Jaji Chande na mlima wenye utelezi

KAMA kuna tume ya uchunguzi iliyopata kuundwa nchini kwa jambo mahususi, ikajikuta katika uwanja...

Rais Samia: Walilenga kupindua dola

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa vurugu...

More like this

Waziri wa Nishati Ndejembi azindua rasmi mita janja

Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Nishati, Deogratius Ndejembi amezindua rasmi mita janja (smart meter)...

RC Kunenge: Mto Ruvu ubaki kwa matumizi ya binadamu tu, tusitishe shughuli nyingine kwa muda

Na Mwandishi Wetu MKUU wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ametoa wito kwa wakulima...

Tume ya Jaji Chande na mlima wenye utelezi

KAMA kuna tume ya uchunguzi iliyopata kuundwa nchini kwa jambo mahususi, ikajikuta katika uwanja...