Balozi Nchimbi ateta jambo na Mwanahabari Mkongwe, Mkurugenzi Mwenza wa Media Brains

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt John Emmanuel Nchimbi akizungumza jambo na Mwandishi mkongwe, Mwenyekiti Mstaafu wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), na Mkurugenzi Mwenza wa Media Brains, Ndugu Absalom Kibanda akiwa ofisini kwake, Makao Makuu ya CCM jijini Dodoma, leo Ijumaa , tarehe 27,Juni 2025.

spot_img

Latest articles

Aliyeongoza kura maoni Vunjo 2020, kumkabili tena Dkt. Kimei

Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Enock Koola (35), ambaye aliongoza katika kura za...

Rais Samia ataja mafanikio Sekta ya Nishati 2020-2025

📌Ni wakati akihitimisha shughuli za Bunge jijini Dodoma 📌JNHPP, Umeme Vijijini, Umeme wa Gridi Kigoma...

Rais Samia alitaka Jeshi la Polisi  kukomesha matukio ya watu kupotea, ataja sababu  ongezeko la deni la Taifa

Na Mwandishi Wetu Rais  Samia Suluhu Hassan, ameliagiza  Jeshi la Polisi nchini kuongeza  jitihada katika ...

Bondia Debora amtangazia vita Asia, apania kulipa kisasi

Na Winfrida Mtoi Bondia  wa ngumi za kulipwa nchini, Debora Mwenda, ametangaza vita dhidi ya...

More like this

Aliyeongoza kura maoni Vunjo 2020, kumkabili tena Dkt. Kimei

Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Enock Koola (35), ambaye aliongoza katika kura za...

Rais Samia ataja mafanikio Sekta ya Nishati 2020-2025

📌Ni wakati akihitimisha shughuli za Bunge jijini Dodoma 📌JNHPP, Umeme Vijijini, Umeme wa Gridi Kigoma...

Rais Samia alitaka Jeshi la Polisi  kukomesha matukio ya watu kupotea, ataja sababu  ongezeko la deni la Taifa

Na Mwandishi Wetu Rais  Samia Suluhu Hassan, ameliagiza  Jeshi la Polisi nchini kuongeza  jitihada katika ...