Jeshi la Polisi lachunguza  taarifa ya OCD  Chunya

Na Mwandishi Wetu

Jeshi la Polisi limesema limeona na linafanyia uchunguzi taarifa inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii ikionyesha imetolewa na Mkuu wa Polisi Wilaya ya Chunya (OCD), mkoani Mbeya kwa waandishi wa habari kama ushauri kwa wamiliki wa vituo vya mafuta wilayani humo.

Taarifa kwa Umma iliyotolewa na Jeshi hilo leo Novemba 26,2025, imesema uchunguzi unafanyika ili kupata ukweli wa taarifa hiyo, kwani hana mamlaka ya kuita waandishi wa habari na kutoa taarifa kwao. “Ikibainika hivyo hatua stahiki zitachukuliwa mara moja.

Mapema leo ilisambaa video ikimuonesha Mkuu wa Polisi Wilaya ya Chunya (OCD), akitoa angalizo kwa wauzaji wa mafuta katika Wilaya hiyo, pamoja na kuwataka wasiwauzie madereva wa bodaboda mafuta yanayozidi lita mbili kwa wakati mmoja kuelekea Desemba 9, 2025.

spot_img

Latest articles

DCEA yateketeza kilo 504.36 za Heroin Mtwara

Na Mwandishi Wetu, Mtwara MAMLAKa ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imeteketeza...

Mkurugenzi wa Rasilimali Watu Tanesco awahakikishia ushirikiano maafisa huduma kwa wateja

📌 Afunga Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Maafisa hao 📌 Awapongeza kwa utendaji bora wenye...

Makonda  awajibu wanaoponda ziara ya Rio

Na Winfrida Mtoi WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amesema ziara ya...

TIRDO yasajili Viwanda 25,650, Yaongeza Maabara za Kisasa Kuimarisha Sekta ya Viwanda

Na Mwandishi Wetu WIZARA ya Viwanda na Biashara kupitia Shirika la Utafiti na Maendeleo ya...

More like this

DCEA yateketeza kilo 504.36 za Heroin Mtwara

Na Mwandishi Wetu, Mtwara MAMLAKa ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imeteketeza...

Mkurugenzi wa Rasilimali Watu Tanesco awahakikishia ushirikiano maafisa huduma kwa wateja

📌 Afunga Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Maafisa hao 📌 Awapongeza kwa utendaji bora wenye...

Makonda  awajibu wanaoponda ziara ya Rio

Na Winfrida Mtoi WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amesema ziara ya...