Nyota JKT Queens aipigia hesabu Asec Mimosa

Na Winfrida Mtoi

Mshambuliaji wa JKT Queens FC, Jamila Rajabu, amesema  amejipanga  kutengeneza  nafasi na kufunga mabao katika mchezo wa pili wa hatua ya makundi dhidi ya Asec Mimosa ya Ivory Coast  kwenye  michuano ya  Ligi ya Mabingwa Afrika inayoendelea katika jiji la Ismailia, Misri.

JKT Queens ambayo ni mwakilishi pekee wa Tanzania na Afrika Mashariki katika michuano hiyo, itaivaa Asec Mimosa kesho Novemba 12, 2025. Mchezo wa kwanza ilikutana Gaborone United na kutoka sare ya bao 1-1.

Jamila amesema katika mchezo uliopita walikuwa na mapungufu katika eneo la mwisho, hali iliyochangia kushindwa kupanda ushindi licha ya kupata nafasi kadhaa za kufunga.

Amesema benchi la ufundi tayari limefanyia kazi mapungufu hayo kwa sasa kikosi kipo katika hali nzuri na wana malengo makubwa ya kuibuka na ushindi katika mchezo huo.

spot_img

Latest articles

DCEA yateketeza kilo 504.36 za Heroin Mtwara

Na Mwandishi Wetu, Mtwara MAMLAKa ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imeteketeza...

Mkurugenzi wa Rasilimali Watu Tanesco awahakikishia ushirikiano maafisa huduma kwa wateja

📌 Afunga Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Maafisa hao 📌 Awapongeza kwa utendaji bora wenye...

Makonda  awajibu wanaoponda ziara ya Rio

Na Winfrida Mtoi WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amesema ziara ya...

TIRDO yasajili Viwanda 25,650, Yaongeza Maabara za Kisasa Kuimarisha Sekta ya Viwanda

Na Mwandishi Wetu WIZARA ya Viwanda na Biashara kupitia Shirika la Utafiti na Maendeleo ya...

More like this

DCEA yateketeza kilo 504.36 za Heroin Mtwara

Na Mwandishi Wetu, Mtwara MAMLAKa ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imeteketeza...

Mkurugenzi wa Rasilimali Watu Tanesco awahakikishia ushirikiano maafisa huduma kwa wateja

📌 Afunga Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Maafisa hao 📌 Awapongeza kwa utendaji bora wenye...

Makonda  awajibu wanaoponda ziara ya Rio

Na Winfrida Mtoi WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amesema ziara ya...