Simba nayo yaenda hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika

Na Winfrida Mtoi

Mabao ya ugenini yameibeba Simba kwenda makundi Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya leo kutoka suluhu dhidi ya Nsingizini kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.

Simba imeingia makundi kutokana na ushindi wa mabao 3-0 ugenini katika mechi ya kwanza ya raundi ya pili ya michuano hiyo dhidi ya wapinzani wao hao ulifanyika nchini Eswatini.

Wanamsimbazi hao wanakamilisha idadi ya timu nne za Tanzania zilizoingia hatua ya makundi ya michuano ya CAF msimu huu ambapo Simba na Yanga Ligi ya Mabingwa wakati Azam FC na Singida BS zipo Kombe la Shirikisho Afrika.

spot_img

Latest articles

Oktoba 29 siku ya giza, ifungue milango ya haki

OKTOBA 29, 2025 itabakia kuwa siku ya giza na machungu katika historia ya Jamhuri...

Fountain Gate yatoa kocha bora

Na Mwandishi Wetu Kocha wa timu ya Fountain Gate,  Mohamed Laizer amechaguliwa kuwa kocha bora...

Nyota JKT Queens aipigia hesabu Asec Mimosa

Na Winfrida Mtoi Mshambuliaji wa JKT Queens FC, Jamila Rajabu, amesema  amejipanga  kutengeneza  nafasi na...

Zungu achaguliwa kuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Na Mwandishi Wetu MBUNGE mteule wa Jimbo la Ilala Mussa Azzan Zungu ameibuka mshindi...

More like this

Oktoba 29 siku ya giza, ifungue milango ya haki

OKTOBA 29, 2025 itabakia kuwa siku ya giza na machungu katika historia ya Jamhuri...

Fountain Gate yatoa kocha bora

Na Mwandishi Wetu Kocha wa timu ya Fountain Gate,  Mohamed Laizer amechaguliwa kuwa kocha bora...

Nyota JKT Queens aipigia hesabu Asec Mimosa

Na Winfrida Mtoi Mshambuliaji wa JKT Queens FC, Jamila Rajabu, amesema  amejipanga  kutengeneza  nafasi na...