Yanga yatinga makundi CAFCL kibabe

Na Winfrida Mtoi

Yanga imefanikiwa kutinga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) ikipindua meza kwa kuifunga Silver Strikers mabao 2-0 kwenye Uwanja wa Benjamini Mkapa, Dar es Salaam.

Mabao ya yaliyoipa ushindi Wanajangwani hao, yamefungwa na Dickson Job dk 06 na Pacome Zouzoua dk 34. Katika mchezo wa kwanza ulipigwa nchini Malawi, Yanga ilipoteza kwa kufungwa na Silver Strikers 1-0.

spot_img

Latest articles

Mwigulu rasmi Waziri Mkuu wa Tanzania

Na Mwandishi Wetu Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limemthibitisha Dk. Mwigulu Nchemba, kuwa...

Oktoba 29 siku ya giza, ifungue milango ya haki

OKTOBA 29, 2025 itabakia kuwa siku ya giza na machungu katika historia ya Jamhuri...

Fountain Gate yatoa kocha bora

Na Mwandishi Wetu Kocha wa timu ya Fountain Gate,  Mohamed Laizer amechaguliwa kuwa kocha bora...

Nyota JKT Queens aipigia hesabu Asec Mimosa

Na Winfrida Mtoi Mshambuliaji wa JKT Queens FC, Jamila Rajabu, amesema  amejipanga  kutengeneza  nafasi na...

More like this

Mwigulu rasmi Waziri Mkuu wa Tanzania

Na Mwandishi Wetu Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limemthibitisha Dk. Mwigulu Nchemba, kuwa...

Oktoba 29 siku ya giza, ifungue milango ya haki

OKTOBA 29, 2025 itabakia kuwa siku ya giza na machungu katika historia ya Jamhuri...

Fountain Gate yatoa kocha bora

Na Mwandishi Wetu Kocha wa timu ya Fountain Gate,  Mohamed Laizer amechaguliwa kuwa kocha bora...