Zulfa Macho atinga fainali ya ngumi Zone 3 Afrika

Na Mwandishi Wetu

Bondia Mtanzania Zulfa Macho amemchapa kwa pointi Bisambu Deborah wa DR Congo katika pambano la nusu fainali ya mashindano ya ngumi ya Kanda ya Tatu Afrika, yanayoendelea Nairobi, Kenya.

Ushindi huo umemfanya Zulfa kulipa kisasi kwa bondia huyo ambaye mwaka 2024 alimpiga a kwa pointi 3-2 dhidi katika Mashindano ya Afrika yaliyofanyika Kinshasa, DR Congo.

Katika mchezo wa fainali Zulfa anayechezea uzito wa kilo 54(Bantamweight), atakutana na Amina Martha kutoka Kenya Ijumaa Oktoka 24,2025.

Martha ni mshindi wa medali katika mashindano ya Mataifa ya Afrika (African Games) yaliyofanyika Accra, Ghana 2024.

spot_img

Latest articles

Mwigulu rasmi Waziri Mkuu wa Tanzania

Na Mwandishi Wetu Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limemthibitisha Dk. Mwigulu Nchemba, kuwa...

Oktoba 29 siku ya giza, ifungue milango ya haki

OKTOBA 29, 2025 itabakia kuwa siku ya giza na machungu katika historia ya Jamhuri...

Fountain Gate yatoa kocha bora

Na Mwandishi Wetu Kocha wa timu ya Fountain Gate,  Mohamed Laizer amechaguliwa kuwa kocha bora...

Nyota JKT Queens aipigia hesabu Asec Mimosa

Na Winfrida Mtoi Mshambuliaji wa JKT Queens FC, Jamila Rajabu, amesema  amejipanga  kutengeneza  nafasi na...

More like this

Mwigulu rasmi Waziri Mkuu wa Tanzania

Na Mwandishi Wetu Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limemthibitisha Dk. Mwigulu Nchemba, kuwa...

Oktoba 29 siku ya giza, ifungue milango ya haki

OKTOBA 29, 2025 itabakia kuwa siku ya giza na machungu katika historia ya Jamhuri...

Fountain Gate yatoa kocha bora

Na Mwandishi Wetu Kocha wa timu ya Fountain Gate,  Mohamed Laizer amechaguliwa kuwa kocha bora...