Chama aipa Singida Bs ubingwa wa CECAFA

Na Mwandishi Wetu

Mabao mawili yaliyofungwa na Clatous Chama yamefanikisha timu ya Singida Bs kutwaa ubingwa wa michuano ya Cecafa Kagame Cup kwa kuifunga Al Hilal mabao 2-1katika mchezo wa fainali uliopigwa leo Septemba 15, 2025, Uwanja wa KMC Complex Mwenye, Dar es Salaam.

Chama ametua Singida hivi karibuni baada ya kuachana na Yanga. Ubingwa huo ni wa kwanza katika historia ya timu hiyo, inayonolewa na kocha wa zamani wa Yanga, Miguel Gamondi.

Katika mchezo wa mapema APR FC ya Rwanda imeibuka mshindi wa tatu wa mashindano hayo kwa ushindi wa  mabao 2-1 dhidi ya KMC FC.

spot_img

Latest articles

Mwigulu rasmi Waziri Mkuu wa Tanzania

Na Mwandishi Wetu Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limemthibitisha Dk. Mwigulu Nchemba, kuwa...

Oktoba 29 siku ya giza, ifungue milango ya haki

OKTOBA 29, 2025 itabakia kuwa siku ya giza na machungu katika historia ya Jamhuri...

Fountain Gate yatoa kocha bora

Na Mwandishi Wetu Kocha wa timu ya Fountain Gate,  Mohamed Laizer amechaguliwa kuwa kocha bora...

Nyota JKT Queens aipigia hesabu Asec Mimosa

Na Winfrida Mtoi Mshambuliaji wa JKT Queens FC, Jamila Rajabu, amesema  amejipanga  kutengeneza  nafasi na...

More like this

Mwigulu rasmi Waziri Mkuu wa Tanzania

Na Mwandishi Wetu Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limemthibitisha Dk. Mwigulu Nchemba, kuwa...

Oktoba 29 siku ya giza, ifungue milango ya haki

OKTOBA 29, 2025 itabakia kuwa siku ya giza na machungu katika historia ya Jamhuri...

Fountain Gate yatoa kocha bora

Na Mwandishi Wetu Kocha wa timu ya Fountain Gate,  Mohamed Laizer amechaguliwa kuwa kocha bora...