Maandalizi ya Mkutano Mkuu Maalum UVCCM yamekamilika

Pichani ni Viongozi wa sekretarieti ya Umoja wa Vijana CCM wakikabidhi vifaa mbalimbali wezeshi Kwa ajili ushiriki wa Mkutano Mkuu wa Maalum wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM)

Mkutano Mkuu Maalum wa UVCCM unatarajiwa kufanyika kesho Agosti 1, 2025 katika Ukumbi wa Jiji, Mtumba Jijini Dodoma.

spot_img

Latest articles

Rais Samia: Kituo cha EACLC kitaimarisha uchumi wa Taifa

Na Tatu Mohamed RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema...

Vyombo vya habari vyatakiwa kuripoti habari za Uchaguzi Mkuu kwa usahihi

Na Tatu Mohamed VYOMBO vya habari nchini vimetakiwa kuwa makini katika kuripoti taarifa zinazohusu...

Tamasha la Singeli Agosti 2 wasanii kutoa burudani ya Kimataifa

Na Winfrida Mtoi Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Gerson Msigwa,...

INEC: Hakuna atakayeachwa nyuma kwenye Uchaguzi Mkuu 2025

Na Tatu Mohamed TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), imesema imeweka mazingira wezeshi...

More like this

Rais Samia: Kituo cha EACLC kitaimarisha uchumi wa Taifa

Na Tatu Mohamed RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema...

Vyombo vya habari vyatakiwa kuripoti habari za Uchaguzi Mkuu kwa usahihi

Na Tatu Mohamed VYOMBO vya habari nchini vimetakiwa kuwa makini katika kuripoti taarifa zinazohusu...

Tamasha la Singeli Agosti 2 wasanii kutoa burudani ya Kimataifa

Na Winfrida Mtoi Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Gerson Msigwa,...