DCP Mambosasa afungua mafunzo ya medani za kivita

Na Mwandishi Wetu

Mkuu wa Chuo cha Taaluma ya Polisi Dar es Salaam, Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Dk. Lazaro Mambosasa amefungua mafunzo ya medani za kivita kwa kozi ya uafisa na Mkaguzi Msaidizi wa Polisi namba  1.2024/2025 kwa lengo la kuwajengea uwezo hususani eneo la medani za kivita.

Akizungumza Mei 7, 2025  katika kambi ya Mkomazi iliyopo mkoani Tanga  ambapo  Dk. Mambosasa amewataka wanafunzi hao kuendelea kujifunza mbinu mbalimbali na kuzingatia weledi na maarifa  wanayopatiwa ili kuongeza tija katika utendaji wao wa kazi za kila siku kwa kuhakikisha usalama wa raia na mali zao unaendelea kuimarika.

Aidha, Dk. Mambosasa amempongeza Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Camillus Wambura kwa namna anavyoendelea kutoa fursa za kimasoma na mafunzo ya ndani na nje ya nchi kwa maafisa, wakaguzi na askari wa vyeo mbalimbali ili kuwa na Jeshi la kisasa lenye viwango.

spot_img

Latest articles

 ‘Umimi’ wa viongozi unaua Jumuiya Afrika Mashariki

KATIKATI ya miaka ya 90 wakati mfumo wa vyama vingi unaota mizizi, lilitokea wazo...

Wanafunzi watatu wafariki dunia baada ya kupigwa na radi Dar

Na Mwandishi wetu WANAFUNZI watatu wa Shule ya Msingi Msongola iliyopo eneo la Msongola,...

Serikali yawataka Wakurugenzi kuongeza thamani inayopimika katika uwekezaji wa hisa chache

Na Mwandishi wetu SERIKALI imewataka wakurugenzi wa bodi za kampuni ambazo ina umiliki wa...

Tanesco yazindua ndege nyuki (Drones) kuboresha miundombinu ya umeme nchini

📌Ni sehemu ya utekelezaji wa mikakati yake kuimarisha huduma kwa wateja kwa kutumia njia...

More like this

 ‘Umimi’ wa viongozi unaua Jumuiya Afrika Mashariki

KATIKATI ya miaka ya 90 wakati mfumo wa vyama vingi unaota mizizi, lilitokea wazo...

Wanafunzi watatu wafariki dunia baada ya kupigwa na radi Dar

Na Mwandishi wetu WANAFUNZI watatu wa Shule ya Msingi Msongola iliyopo eneo la Msongola,...

Serikali yawataka Wakurugenzi kuongeza thamani inayopimika katika uwekezaji wa hisa chache

Na Mwandishi wetu SERIKALI imewataka wakurugenzi wa bodi za kampuni ambazo ina umiliki wa...