Na Mwandishi Wetu
KAMPUNI ya Taarifa Limited inayomilikiwa na mfanyabiashara Rostam Aziz imeingia makubaliano ya kununu hisa za Taasisi ya Aga Khan inazomiliki katika kampuni ya Nation Media Group nchini Kenya.
Taarifa iliyotolewa na Taasisi ya Agakhan leo Machi 10, 2026 imesema kuwa kampuni ya Taarifa...
Na Mwandishi Wetu
WAANDISHI wa Habari, Wahariri, ndugu na jamaa leo Machi 10, 2026, wamejumuika pamoja katika ibada ya kuaga mwili wa Mhariri Mkongwe, Revocatus Makaranga iliyofanyika kwenye Kanisa Katoliki Parokia ya Kimara, Dar es Salaam.
Makaranga ambaye amewahi kufanya kazi na vyombo vya mbalimbali vya...