KWA nyakati tofauti viongozi wawili wamezungumzia jiji la Dar es Salaam kuhusu msongamano wa magari. Msongamano wa magari kwa jiji la Dar es Salaam ni hoja muhimu ya kiuchumi, kiafya na kimazingira. Kwa mujibu wa Benki ya Dunia Tanzania inapata hasara ya Sh. trilioni...
Na Mwandishi Wetu
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ,Samia Suluhu Hassan, amemuasili mtoto mchanga wa kike leo Machi 11, 2026, katika makazi yake, Ikulu Chamwino, mkoani Dodoma.Mtoto huyo aliyepewa jina la Grace Samia Suluhu Hassan alitelekezwa mjini Nzega, mkoani Tabora, na amekabidhiwa kwa...