JUMATATU wiki hii taifa lilishuhudia Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere, akiwasilisha kwa Rais Samia Suluhu Hassan, taarifa ya ukaguzi wa hesabu za serikali kwa mwaka 2024/25. Kwa kifupi Kichere alisema hati zilizotolewa ‘zinaridhisha’ kwa kiwango cha asilimia 99...
Na Mwandishi wetu
MAMLAKA ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imewataka Wasafirishaji nchini kuwa watulivu na kuepuka kupandisha nauli kiholela kufuatia ongezeko la bei za mafuta ya Dizeli, Petroli na Mafuta ya Taa kwa mwezi Aprili.
Akizungumza na waandishi wa habari leo Aprili 1, 2026, Mkurugenzi...