Beki Yanga afanyiwa upasuaji Afrika Kusini

Na Mwandishi Wetu

NAHODHA msaidizi wa timu ya Yanga na mchezaji wa timu ya Taifa (Taifa Stars), Dickson Job, amefanyiwa upasuaji wa goti nchini Afrika Kusini leo Machi 11, 2026, kufuatia majeraha aliyoyapata katika mchezo wa Derby ya Kariakoo.

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Yanga, Ally Kamwe, amesema upasuaji huo umeenda vizuri na beki huyo anaendelea vizuri baada ya matibabu.

Job alipata jeraha hilo la goti katika mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Simba uliochezwa Machi Mosi, 2026 katika Uwanja wa New Amaan, Zanzibar, uliomalizika kwa sare tasa.

Kwa mujibu wa taarifa ya Klabu ya Yanga, beki huyo anatarajiwa kuwa nje ya uwanja kwa takribani miezi miwili hadi mitatu akiendelea na matibabu kabla ya kurejea uwanjani.

spot_img

Latest articles

Mkurugenzi wa Rasilimali Watu Tanesco awahakikishia ushirikiano maafisa huduma kwa wateja

📌 Afunga Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Maafisa hao 📌 Awapongeza kwa utendaji bora wenye...

Makonda  awajibu wanaoponda ziara ya Rio

Na Winfrida Mtoi WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amesema ziara ya...

TIRDO yasajili Viwanda 25,650, Yaongeza Maabara za Kisasa Kuimarisha Sekta ya Viwanda

Na Mwandishi Wetu WIZARA ya Viwanda na Biashara kupitia Shirika la Utafiti na Maendeleo ya...

MD Twange aeleza kutoridhishwa na kasi ya Mkandarasi wa mradi wa Hale

📍Ni ule wa kuboresha kituo cha kufua umeme 📍Amuagiza kuongeza kasi ya utekelezaji wa...

More like this

Mkurugenzi wa Rasilimali Watu Tanesco awahakikishia ushirikiano maafisa huduma kwa wateja

📌 Afunga Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Maafisa hao 📌 Awapongeza kwa utendaji bora wenye...

Makonda  awajibu wanaoponda ziara ya Rio

Na Winfrida Mtoi WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amesema ziara ya...

TIRDO yasajili Viwanda 25,650, Yaongeza Maabara za Kisasa Kuimarisha Sekta ya Viwanda

Na Mwandishi Wetu WIZARA ya Viwanda na Biashara kupitia Shirika la Utafiti na Maendeleo ya...