Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imewafungia watangazaji wanne wa kipindi cha redio kinachojulikana kama 'GENGE LA GEN TOK' kwa kosa la kukiuka sheria na maadili ya taaluma ya habari.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Julai 18,...
Na Mwandishi Wetu
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema limepokea taarifa za kuchukuliwa na watu asiowafahamu na kurejeshwa kwa mwanamke aliyejitambulisha kwa jina la Christina Polepole, mwenye umri wa miaka 52, mkazi wa Bahari Beach, mtaa wa Katumba, Kinondoni.
Kwa mujibu wa taarifa rasmi iliyotolewa leo Julai...