Simba, Yanga zaondoka nchini

Na Winfrida Mtoi

Timu za Simba na Yanga leo zimeondoka nchini leo kwa ajili ya kwenda kucheza michezo yao raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

Yanga imeelekea Angola, kuikabili  Wiliete ya nchini humo Septemba 19, 2025, Uwanja wa  11 de Novembro, huku Simba ikitarajiwa kutua Botswana ambapo  itacheza na Gaborone United Septemba 20, 2025 kwenye dimba la Obed Itani Chilume.

Vigogo hao wa soka nchini wenye maskani yao Kariakoo jijini Dar es Salaam, wameondoka baada ya jana kucheza mechi ya Ngao ya Jamii na Yanga kutwaa ubingwa huo.

Baada ya mechi hizo zitarejea nchini kujiandaa na michezo ya marudiano ambapo Yanga na Wiliete zitarudiana Septemba 27, 2025, Benjamin Mkapa.  Simba itarudiana na Gaborone United Septemba 28,2025 kwenye uwanja huo huo.

spot_img

Latest articles

Serikali kuendelea kuwawezesha vijana kijamii, kiuchumi

Na Tatu Mohamed WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais – Maendeleo ya Vijana, Joel...

Kids Holiday Festival yawavuta mamia ya watoto, CRDB yatumia jukwaa kujenga uelewa wa fedha

Na Mwandishi Wetu BURUDANI na michezo mbalimbali vilitawala Tamasha la Kids Holiday Festival lililowakusanya...

Mambo: Demokrasia haijengwi kwa mashinikizo, vitisho

Na Mwandishi Wetu ALIYEKUWA Mgombea wa Bavicha Taifa, Masoud Mambo amesema kuwa demokrasia ya...

Serikali yaahidi kuimarisha uwezeshaji wa Makundi Maalum kupitia ajenda ya Maendeleo Jumuishi

Na Tatu Mohamed WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt....

More like this

Serikali kuendelea kuwawezesha vijana kijamii, kiuchumi

Na Tatu Mohamed WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais – Maendeleo ya Vijana, Joel...

Kids Holiday Festival yawavuta mamia ya watoto, CRDB yatumia jukwaa kujenga uelewa wa fedha

Na Mwandishi Wetu BURUDANI na michezo mbalimbali vilitawala Tamasha la Kids Holiday Festival lililowakusanya...

Mambo: Demokrasia haijengwi kwa mashinikizo, vitisho

Na Mwandishi Wetu ALIYEKUWA Mgombea wa Bavicha Taifa, Masoud Mambo amesema kuwa demokrasia ya...