CAF yaipiga faini Simba, kucheza bila mashabiki

Na Mwandishi Wetu


Klabu ya Simba imepigwa faini ya Dola za Marekani 50,000 ( zaidi ya Sh. 100 milioni) na kuamriwa kucheza bila mashabiki katika mchezo wao ujao wa Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League) dhidi ya Gaborone United ya Botswana, utakaopigwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa.

Uamuzi huo umetolewa na Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) baada ya Simba kukutwa na makosa ya mashabiki wake kufanya vurugu na kuwasha fataki kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho msimu uliopita dhidi ya Al Masry ya Misri, uliopigwa katika uwanja huo huo.Katika mchezo huo uliofanyika Aprili 9, 2025 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam, Simba ilishinda kwa penalti 4-1 na kufuzu nusu fainali ya michuano hiyo kufuatia matokeo ya jumla kuwa sare ya 2-2.

spot_img

Latest articles

Mwanasheria Mkuu wa Serikali: Uchaguzi Mkuu wa 2025 ni halali

Na Mwandishi wetu MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Hamza Johari amesema kuwa, Uchaguzi Mkuu wa...

Viongozi wa dini waendelea kihimiza amani uchaguzi mkuu

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam VIONGOZI wa dini nchini wameendelea kuhimiza umuhimu wa kudumisha...

Ujumbe wa viongozi wa dini kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025 katika Kongamano la Kamati ya Amani Kitaifa Dar es Salaam

Na Mwandishi Wetu Askofu Mkuu Wapo Mission, Dk. Sylvester Gamanywa “Mungu ambaye tunamwakilisha ndiye anayweka watawala...

Watumishi wa umma waaswa kushiriki Uchaguzi wa Oktoba 29

Dar es Salaam. Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH) imetoa wito kwa watumishi wote...

More like this

Mwanasheria Mkuu wa Serikali: Uchaguzi Mkuu wa 2025 ni halali

Na Mwandishi wetu MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Hamza Johari amesema kuwa, Uchaguzi Mkuu wa...

Viongozi wa dini waendelea kihimiza amani uchaguzi mkuu

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam VIONGOZI wa dini nchini wameendelea kuhimiza umuhimu wa kudumisha...

Ujumbe wa viongozi wa dini kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025 katika Kongamano la Kamati ya Amani Kitaifa Dar es Salaam

Na Mwandishi Wetu Askofu Mkuu Wapo Mission, Dk. Sylvester Gamanywa “Mungu ambaye tunamwakilisha ndiye anayweka watawala...