Mo ajiondoa Bodi ya Wakurugenzi Simba,  Barbara Gonzalez arejea

Na Mwandishi Wetu

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba, Mohammed Dewji ‘Mo’, ametangaza  kuachana na majukumu hayo na kumteua Crescentius Magori kuchukua nafasi hiyo, huku  CEO wa zamani  wa klabu hiyo, Barbara Gonzalez akiteuli miongoni mwa wajumbe wa Bodi hiyo.

Mo ametangaza mabadiliko hay oleo ambapo wajumbe wengine wakiwa ni Hussein Kitta, Azim Dewji, Rashidi Shangazi, Swedi Nkwabi, Zully Chandoo na George Ruhanga.

Amesema ameamua  kuachana na majukumu hayo  kutokana na muda mwingi kuwa mbali na klabu hivyo ameona umuhimu wa kupata viongozi waliopo karibu na wanaoweza kushiriki shughuli za kila siku.

spot_img

Latest articles

INEC yatoa wito kwa asasi za kiraia

Na Mwandishi Wetu Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), imezitaka taasisi na asasi za...

Dk. Philip Mpango wakiteta jambo na Rais wa Kenya kabla ya mkutano wa Mabadiliko ya Tabiachi- Ethiopia

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Philip Mpango akizungumza na...

Ivo Mapunda aomba sapoti kwa watanzania CECAAF

Na Mwandishi Wetu Kocha wa timu ya Taifa ya soka kwa watu wenye Ulemavu Tanzania...

TAARIFA KWA UMMA

More like this

INEC yatoa wito kwa asasi za kiraia

Na Mwandishi Wetu Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), imezitaka taasisi na asasi za...

Dk. Philip Mpango wakiteta jambo na Rais wa Kenya kabla ya mkutano wa Mabadiliko ya Tabiachi- Ethiopia

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Philip Mpango akizungumza na...

Ivo Mapunda aomba sapoti kwa watanzania CECAAF

Na Mwandishi Wetu Kocha wa timu ya Taifa ya soka kwa watu wenye Ulemavu Tanzania...