Dogo Janja apita kura za maoni ya udiwani Ngarenaro

Na Mwandishi Wetu

Msanii wa Bongofleva, Abdulaziz Abubakar ‘ Dogo Janja’, ameongoza katika kura za maoni ya udiwani katika Kata Ngarenaro, mkoani Arusha kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM).

Akitangaza matokeo hayo leo Agosti 4, 2025, msimamizi wa uchaguzi huo Sofia Islam amesema Dogo Janja amepata kura 76, Isaya Doita alipata kura 60 na Benjamin Mboyo kura mbili.

Kura za maoni kwa wagombea wa nafasi za udiwani na ubunge kupitia CCM zinafanyika nchini leo kote.

spot_img

Latest articles

Rasmi Kocha Yanga afungashiwa virago usiku

Na Mwandishi Wetu Uongozi wa Klabu ya Yanga umevunja mkataba na Kocha Mkuu, Romain Folz. ...

Mwanamke ashikiliwa  Polisi kwa  kumuua mume wake na kumfukia ndani ya nyumba yao

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita linamshikilia mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina...

Padre aliyepotea apatikana akiwa hai

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma limefanikiwa kumpata Padre Camillus Nikata wa Jimbo...

More like this

Rasmi Kocha Yanga afungashiwa virago usiku

Na Mwandishi Wetu Uongozi wa Klabu ya Yanga umevunja mkataba na Kocha Mkuu, Romain Folz. ...

Mwanamke ashikiliwa  Polisi kwa  kumuua mume wake na kumfukia ndani ya nyumba yao

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita linamshikilia mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina...