CCM yaja na mbinu mpya kudhibiti uzushi

Na Mwandishi Wetu

Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimeanza kutumia nembo maalumu (QR Code) ya utambuzi wa taarifa zake ili kuzuia na kudhibiti uzushi na upotoshaji.

Kupitia taarifa iliyotolewa na chama hicho leo Julai 21, 2025, imesema kufahamu taarifa halisi ya vyanzo rasmi vya chama hicho utafanya uhakiki kwa ku- scan nembo hiyo.

“Taarifa yoyote ya uongo, ambayo watu wenye malengo ovu wanakuwa wameitengeneza kwa ajili kuzua tafrani na kupotosha jamii, msomaji aki- scan haiwezi kupelekwa, wala hawezi kuikuta kwenye vyanzo rasmi vya chama, iwe tovuti au kurasa za mitandao ya kijamii ya CCM,” imesema taarifa hiyo.

spot_img

Latest articles

Rasmi Kocha Yanga afungashiwa virago usiku

Na Mwandishi Wetu Uongozi wa Klabu ya Yanga umevunja mkataba na Kocha Mkuu, Romain Folz. ...

Mwanamke ashikiliwa  Polisi kwa  kumuua mume wake na kumfukia ndani ya nyumba yao

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita linamshikilia mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina...

Padre aliyepotea apatikana akiwa hai

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma limefanikiwa kumpata Padre Camillus Nikata wa Jimbo...

More like this

Rasmi Kocha Yanga afungashiwa virago usiku

Na Mwandishi Wetu Uongozi wa Klabu ya Yanga umevunja mkataba na Kocha Mkuu, Romain Folz. ...

Mwanamke ashikiliwa  Polisi kwa  kumuua mume wake na kumfukia ndani ya nyumba yao

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita linamshikilia mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina...