Simba yatua Dar na kauli ya kibabe

Na Mwandishi Wetu

Kikosi cha Simba kimewasili Dar es Salaam kikitokea Zanzibar kwenye mchezo wa fainali wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi RS Berkane ambapo mashabiki wamejitokeza Bandarini kuipokea timu yao, huku Msemaji wa klabu hiyo, Ahmed Ally akisema kwa hatua waliyofikia wanajihesabu kama mabingwa wa Afrika

Amesema wameumia kukosa ubingwa wa michuano hiyo lakini hawana deni na wachezaji wao wala benchi la ufundi kwa sababu wametimiza majukumu yao na wamevuka malengo, hivyo wanajihesabu kama mabingwa wa Afrika.

“Matokeo ya kufungwa mpira wa miguu huwa ni matokeo ya kuumiza, kinachouma zaidi kombe lilikuwa uwanjani, kombe jipya limeondoka tumelikosa sisi Simba, tuna maumivu makali mno, lakini katika mioyo yetu sisi Wanasimba tunajihesabu kama ni mabingwa wa Afrika,” amesema Ahmed.

Keshokutwa kikosi hicho kitashuka dimbani katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Singida BS kwenye Uwanja wa KMC.

spot_img

Latest articles

Matendo ya Polisi ni hujuma dhidi ya utawala bora, demokrasia

MFUMO wa uchumi wa soko huru una kanuni zake. Miongoni mwake ni kuruhusu ushindani....

Dkt. Mataragio: Serikali haitasita kuwachukulia hatua kali wanaoficha mafuta

Na Tatu Mohamed SERIKALI imetoa onyo kali kwa wafanyabiashara wanaojihusisha na vitendo vya kuficha...

Lukuvi afariki dunia

Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye...

Mgodi wa kihistoria wa niobium kujengwa Mbeya

Na Mwandishi Mbeya TANZANIA imepiga hatua muhimu katika kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi na Marekani baada...

More like this

Matendo ya Polisi ni hujuma dhidi ya utawala bora, demokrasia

MFUMO wa uchumi wa soko huru una kanuni zake. Miongoni mwake ni kuruhusu ushindani....

Dkt. Mataragio: Serikali haitasita kuwachukulia hatua kali wanaoficha mafuta

Na Tatu Mohamed SERIKALI imetoa onyo kali kwa wafanyabiashara wanaojihusisha na vitendo vya kuficha...

Lukuvi afariki dunia

Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye...