Rais Samia akutana na Mkurugenzi Mtendaji wa UNICEF

Na Mwandishi Wetu

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akutana na kufanya Mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia Watoto (UNICEF) Catherine Russell, leo Machi 11, 2025, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma.

Katika mazungumzo yao, Rais Dkt. Samia ameishukuru UNICEF kwa mchango wake katika masuala mbalimbali ikiwemo afya, elimu na lishe kwa watoto pamoja na afya ya msingi.

spot_img

Latest articles

MOTSEPE KUENDELEA KUONGOZA CAF HADI 2029, KARIA MJUMBE

Na Mwandishi Wetu Rais wa Shirikisho la Soka  Afrika (CAF), Patrice Motsepe ataendelea kuliongoza shirikisho...

Hamza Johari: Tunataka kuwa Champion wa Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2050

Na Mwandishi Wetu MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Hamza Johari amesema kuwa Ofisi ya Mwanasheria...

MRAMBA: BIASHARA YA KUUZIANA UMEME KUINUFAISHA TANZANIA

📌Afafanua kuuuza na kununua umeme ni jambo la kawaida kwa nchi 📌Asisitiza kununua umeme kwa...

More like this

MOTSEPE KUENDELEA KUONGOZA CAF HADI 2029, KARIA MJUMBE

Na Mwandishi Wetu Rais wa Shirikisho la Soka  Afrika (CAF), Patrice Motsepe ataendelea kuliongoza shirikisho...

Hamza Johari: Tunataka kuwa Champion wa Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2050

Na Mwandishi Wetu MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Hamza Johari amesema kuwa Ofisi ya Mwanasheria...