Gamondi atwaa tuzo

Na Winfrida Mtoi

Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi amechaguliwa kuwa kocha bora wa Februari na kutwa tuzo ya TFF, akiwashinda kocha wa Simba Abdelhak Benchikha na Ahmad Ally wa Tanzania Prisons.

Gamondi ameibuka kededea kutokana na kuiongoza Yanga katika michezo mitano bila kupoteza, akishinda minne na sare moja.

Michezo iliyompa tuzo kocha huyo ni sare ya 0-0 na Kagera Sugar, amezifunga Dodoma Jiji 1-0, Mashujaa 2-1, Prisons 1-2 na KMC 0-3.

Kipa wa Coastal Union, Ley Matampi

Naye Kipa wa timu ya Coastal Union, Ley Matampi ametwaa tuzo ya Februari ya mchezaji bora wa mwezi baada ya dakika 270 za michezo mitatu bila kuruhush bao.

Kipa huyo amewashinda kiungo wa Yanga Mudathir Yahya na mshambuliaji wa Prisons Samson Mbangula aliongia nao fainali.

Pia kamati ya tuzo hizo imemchagua Meneja wa Uwanja wa Azam Complex, Amir Juma kuwa meneja bora wa mwezi huo.

spot_img

Latest articles

SMZ yapongeza udhamini mnono wa NMB Mapinduzi Cup

Na Mwandishi Wetu, Zanzibar SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imeipongeza Benki ya NMB kwa...

Mwakinyo ashinda kwa K.O, afichua siri

Na Winfrida Mtoi Bondia wa ngumi za kulipwa nchini, Hassan Mwakinyo ameibuka mshindi kwa K.O...

Mwakinyo kuilipia kisasi Taifa Stars dhidi ya Mnigeria kesho, Furahi apania rekodi

Na Winfrida Mtoi BONDIA wa kimataifa wa Tanzania, Hassan Mwakinyo, ameweka bayana kuwa pambano lake...

Serikali kuendelea kuwawezesha vijana kijamii, kiuchumi

Na Tatu Mohamed WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais – Maendeleo ya Vijana, Joel...

More like this

SMZ yapongeza udhamini mnono wa NMB Mapinduzi Cup

Na Mwandishi Wetu, Zanzibar SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imeipongeza Benki ya NMB kwa...

Mwakinyo ashinda kwa K.O, afichua siri

Na Winfrida Mtoi Bondia wa ngumi za kulipwa nchini, Hassan Mwakinyo ameibuka mshindi kwa K.O...

Mwakinyo kuilipia kisasi Taifa Stars dhidi ya Mnigeria kesho, Furahi apania rekodi

Na Winfrida Mtoi BONDIA wa kimataifa wa Tanzania, Hassan Mwakinyo, ameweka bayana kuwa pambano lake...