Gamondi atwaa tuzo

Na Winfrida Mtoi

Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi amechaguliwa kuwa kocha bora wa Februari na kutwa tuzo ya TFF, akiwashinda kocha wa Simba Abdelhak Benchikha na Ahmad Ally wa Tanzania Prisons.

Gamondi ameibuka kededea kutokana na kuiongoza Yanga katika michezo mitano bila kupoteza, akishinda minne na sare moja.

Michezo iliyompa tuzo kocha huyo ni sare ya 0-0 na Kagera Sugar, amezifunga Dodoma Jiji 1-0, Mashujaa 2-1, Prisons 1-2 na KMC 0-3.

Kipa wa Coastal Union, Ley Matampi

Naye Kipa wa timu ya Coastal Union, Ley Matampi ametwaa tuzo ya Februari ya mchezaji bora wa mwezi baada ya dakika 270 za michezo mitatu bila kuruhush bao.

Kipa huyo amewashinda kiungo wa Yanga Mudathir Yahya na mshambuliaji wa Prisons Samson Mbangula aliongia nao fainali.

Pia kamati ya tuzo hizo imemchagua Meneja wa Uwanja wa Azam Complex, Amir Juma kuwa meneja bora wa mwezi huo.

spot_img

Latest articles

Mvua za vuli kunyesha kwa wastani  kuanzia  Oktoba

Na Mwandishi Wetu Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imetangaza kuwa msimu wa mvua...

Tembo Warriors yatinga nusu fainali CECAAF

Na Mwandishi Wetu Timu ya Taifa ya watu wenye ulemavu Tanzania 'Tembo Warriors' imefanikiwa kutinga...

Ajali yaua wanafunzi wawili wa kidato cha sita

Na Mwandishi Wetu Watu saba wamefariki dunia wakiwamo wanafunzi wawili wa kidato cha sita shule...

Mpina ashinda kesi, ruksa kugombea Urais

Na Mwandishi Wetu Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Luhaga Mpina leo Septemba...

More like this

Mvua za vuli kunyesha kwa wastani  kuanzia  Oktoba

Na Mwandishi Wetu Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imetangaza kuwa msimu wa mvua...

Tembo Warriors yatinga nusu fainali CECAAF

Na Mwandishi Wetu Timu ya Taifa ya watu wenye ulemavu Tanzania 'Tembo Warriors' imefanikiwa kutinga...

Ajali yaua wanafunzi wawili wa kidato cha sita

Na Mwandishi Wetu Watu saba wamefariki dunia wakiwamo wanafunzi wawili wa kidato cha sita shule...