Simba yainyuka Fountain Gate mabao 3-0

Na Mwandishi Wetu
 

SIMBA imechukua alama zote tatu kwa Fountain Gate kufuatia ushindi wa 3-0 katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa dimba la Sheikh Amri Abeid, Arusha.

 Katika mchezo ulichezwa leo Aprili 15,2026 mabao ya Simba yamefungwa na Clatous Chama (dk 45+6), Libase Gueye (dk 53) na Shaban Pandu (dk71).

Mchezo huo ulianza kwa kasi huku Fountain Gate wakijaribu kuzuia mashambulizi ya Simba, lakini ukuta wao ulipasuka dakika za nyongeza kabla ya mapumziko:

Ushindi huo unamfanya Mnyama Simba kufikisha  pointi 39 baada ya mechi 18 akiendelea kusalia nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi hiyo,  akiwa alama tano nyuma ya vinara Yanga.

spot_img

Latest articles

Mchezo wa kuogelea wazidi kupaa nchini, TSA  yafichua siri

Na Winfrida  Mtoi MCHEZO wa kuogelea umezidi kushika kasi nchini  kutokana na kuongezeka idadi ya...

Dkt Nchimbi atembelea banda la Tanesco

Na Mwandishi Wetu MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Balozi...

Waogeleaji chipukizi 400 kutikisa Dar kesho

Na Mwandishi Wetu Zaidi ya waogeleaji 400 wenye umri wa miaka 6 hadi 12 wanatarajiwa...

Wabunge walifuata mkumbo kwenda Morocco kuishangilia Serengeti Boys lawakuta jambo

Na Mwandishi Wetu SPIKA wa Mbunge la Tanzania, Mussa Azzan Zungu ametoa siku nne za...

More like this

Mchezo wa kuogelea wazidi kupaa nchini, TSA  yafichua siri

Na Winfrida  Mtoi MCHEZO wa kuogelea umezidi kushika kasi nchini  kutokana na kuongezeka idadi ya...

Dkt Nchimbi atembelea banda la Tanesco

Na Mwandishi Wetu MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Balozi...

Waogeleaji chipukizi 400 kutikisa Dar kesho

Na Mwandishi Wetu Zaidi ya waogeleaji 400 wenye umri wa miaka 6 hadi 12 wanatarajiwa...