Chipukizi wa kuogelea kushindana ‘ East Africa Development Swimming Gala’

Na Mwandishi Wetu

ZAIDI ya waogeleji 600 wanatarajiwa kushiriki katika mashindano ya kuogelea ya chipukizi kwa vijana wadogo ‘East Africa Development Swimming Gala’ yatakayoanza Aprili 18 hadi 19, 2026 katika bwawa la Shule ya Sekondari ya FK iliyopo Jijini Dar es Salaam.

Mashindano hayo yaliyondaliwa na Prime Sports Agency yatakayoshirikisha nchi tano ambazo ni Kenya, Uganda, Malawi, Rwanda, Burundi pamoja na wenyeji Tanzania.

Akizungumzia mashindano hayo, Mkurugenzi wa Mipango wa Prime Sports Agency, Jeremiah Keema, amesema kuwa lengo ni kutoa nafasi kwa wavulana na wasichana kutoka shule na vilabu mbalimbali kushindana, kuonesha vipaji vyao na kuvikuza.

“Mashindano hayo yanatarajiwa kuwa chachu ya maendeleo ya mchezo wa kuogelea kwa vijana na kuibua vipaji vipya vya kimataifa,”

spot_img

Latest articles

Mchezo wa kuogelea wazidi kupaa nchini, TSA  yafichua siri

Na Winfrida  Mtoi MCHEZO wa kuogelea umezidi kushika kasi nchini  kutokana na kuongezeka idadi ya...

Dkt Nchimbi atembelea banda la Tanesco

Na Mwandishi Wetu MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Balozi...

Waogeleaji chipukizi 400 kutikisa Dar kesho

Na Mwandishi Wetu Zaidi ya waogeleaji 400 wenye umri wa miaka 6 hadi 12 wanatarajiwa...

Wabunge walifuata mkumbo kwenda Morocco kuishangilia Serengeti Boys lawakuta jambo

Na Mwandishi Wetu SPIKA wa Mbunge la Tanzania, Mussa Azzan Zungu ametoa siku nne za...

More like this

Mchezo wa kuogelea wazidi kupaa nchini, TSA  yafichua siri

Na Winfrida  Mtoi MCHEZO wa kuogelea umezidi kushika kasi nchini  kutokana na kuongezeka idadi ya...

Dkt Nchimbi atembelea banda la Tanesco

Na Mwandishi Wetu MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Balozi...

Waogeleaji chipukizi 400 kutikisa Dar kesho

Na Mwandishi Wetu Zaidi ya waogeleaji 400 wenye umri wa miaka 6 hadi 12 wanatarajiwa...