Chipukizi wa kuogelea kushindana ‘ East Africa Development Swimming Gala’

Na Mwandishi Wetu

ZAIDI ya waogeleji 600 wanatarajiwa kushiriki katika mashindano ya kuogelea ya chipukizi kwa vijana wadogo ‘East Africa Development Swimming Gala’ yatakayoanza Aprili 18 hadi 19, 2026 katika bwawa la Shule ya Sekondari ya FK iliyopo Jijini Dar es Salaam.

Mashindano hayo yaliyondaliwa na Prime Sports Agency yatakayoshirikisha nchi tano ambazo ni Kenya, Uganda, Malawi, Rwanda, Burundi pamoja na wenyeji Tanzania.

Akizungumzia mashindano hayo, Mkurugenzi wa Mipango wa Prime Sports Agency, Jeremiah Keema, amesema kuwa lengo ni kutoa nafasi kwa wavulana na wasichana kutoka shule na vilabu mbalimbali kushindana, kuonesha vipaji vyao na kuvikuza.

“Mashindano hayo yanatarajiwa kuwa chachu ya maendeleo ya mchezo wa kuogelea kwa vijana na kuibua vipaji vipya vya kimataifa,”

spot_img

Latest articles

Simba yainyuka Fountain Gate mabao 3-0

Na Mwandishi Wetu  SIMBA imechukua alama zote tatu kwa Fountain Gate kufuatia ushindi wa 3-0...

Mahakama yaipa uhuru Chadema, sasa ruksa kufanya siasa

Na Mwandishi Wetu MAHAKAMA ya Rufani Tanzania leo 15 Aprili 2026, imekiondolea kifungo cha kutofanya...

Rais Mwinyi akagua Mji wa AFCON Fumba

Na Mwandishi WetuRAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali...

Sowah apigwa faini nzito  kwa utovu wa nidhamu, ashushwa U-20

Na Winfrida Mtoi UONGOZI wa Klabu ya Simba umeweka wazi hatua kali za kinidhamu zilizochukuliwa...

More like this

Simba yainyuka Fountain Gate mabao 3-0

Na Mwandishi Wetu  SIMBA imechukua alama zote tatu kwa Fountain Gate kufuatia ushindi wa 3-0...

Mahakama yaipa uhuru Chadema, sasa ruksa kufanya siasa

Na Mwandishi Wetu MAHAKAMA ya Rufani Tanzania leo 15 Aprili 2026, imekiondolea kifungo cha kutofanya...

Rais Mwinyi akagua Mji wa AFCON Fumba

Na Mwandishi WetuRAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali...