Na Winfrida Mtoi
DROO ya hatua ya 32 wa Kombe la Shirikisho msimu wa 2025/26, imefanyika leo Februari 24, 2026 ambapo Simba imepangwa dhidi ya B19 FC huku Yanga ikiangukia Polisi Tanzania.
Katika hatua iliyopita Yanga iliibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Cosmopolitan, wakati Simba ikiichapa Greenland mabao 3-0.

Hii hapa ratiba kamili ya michezo ya hatua 32
-Azam FC vs Mbeya Kwanza
– Singida Bs vs Songea United
-Geita Gold FC vs Nyika FC
– JKT Tanzania vs Hausang FC
– Coastal Union vs Stand United
– Yanga vs Polisi Tanzania
-Simba vs B19 FC
-Namungo vs Kagera Sugar
– Mbeya City vs Bandari FC
-Fountane Gate vs Gunners FC
-TRA United vs Kijiwe Nongwa FC
-Tanzania Prisons vs TMA Stars
-Dodoma Jiji vs African Sports
-Pamba Jiji vs Transit Camps
-Mtibwa Sugar vs Mbuni FC
-Mashujaa FC vs Kengold FC


