Kombe la Shirikisho hatua 32 Yanga yaangukia Polisi, Simba B19

Na Winfrida Mtoi

DROO ya hatua ya 32 wa Kombe la Shirikisho  msimu wa 2025/26, imefanyika leo Februari 24, 2026 ambapo Simba imepangwa  dhidi ya B19 FC huku Yanga ikiangukia  Polisi Tanzania.

Katika hatua iliyopita Yanga iliibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Cosmopolitan, wakati Simba ikiichapa Greenland mabao 3-0.

Hii hapa ratiba kamili ya michezo ya hatua 32

-Azam FC                vs        Mbeya Kwanza
– Singida Bs            vs        Songea United
-Geita Gold FC        vs        Nyika FC
– JKT Tanzania       vs        Hausang FC
– Coastal Union      vs        Stand United
– Yanga                  vs        Polisi Tanzania
-Simba                   vs        B19 FC
-Namungo              vs        Kagera Sugar
– Mbeya City           vs        Bandari FC
-Fountane Gate     vs        Gunners FC
-TRA United           vs        Kijiwe Nongwa FC
-Tanzania Prisons vs       TMA Stars
-Dodoma Jiji           vs        African Sports
-Pamba Jiji             vs        Transit Camps
-Mtibwa Sugar       vs        Mbuni FC
-Mashujaa FC         vs        Kengold FC

spot_img

Latest articles

Simba yapewa wakusanya kodi, Yanga maafande

Na Mwandishi Wetu DROO ya hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho,...

Waziri Mkuu ahimiza ufungaji kamera  viwanjani kudhibiti ushirikina

Na Mwandishi Wetu WAZIRI Mkuu, Dk.Mwigulu Nchemba, amehimiza ufungaji wa kamera nyingi katika viwanja vya...

Muswada wa Sheria ya Uwekezaji wa Umma kukamilika 2026/27

Na Mwandishi wetu KATIKA kuendelea kuimarisha uwekezaji wa umma, Serikali imepanga kukamilisha Muswada wa...

Kocha Bilo afariki dunia

Na Mwandishi Wetu MMILIKI wa Kituo cha Soka cha Bilo Jijini Mwanza, Kocha Athuman Bilal...

More like this

Simba yapewa wakusanya kodi, Yanga maafande

Na Mwandishi Wetu DROO ya hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho,...

Waziri Mkuu ahimiza ufungaji kamera  viwanjani kudhibiti ushirikina

Na Mwandishi Wetu WAZIRI Mkuu, Dk.Mwigulu Nchemba, amehimiza ufungaji wa kamera nyingi katika viwanja vya...

Muswada wa Sheria ya Uwekezaji wa Umma kukamilika 2026/27

Na Mwandishi wetu KATIKA kuendelea kuimarisha uwekezaji wa umma, Serikali imepanga kukamilisha Muswada wa...