Watoto mapacha wajinyonga Zanzibar, kisa kazi za ndani

Na Mwandishi Wetu

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kaskazini Pemba linachunguza tukio la kujinyonga kwa watoto wawili wa kike wenye umri wa miaka 11, lilitokea katika Kijiji cha Kwale Mpona, Wilaya ya Wete, mkoani humo na kusema uchunguzi wa awali unaonesha sababu ni kukataa kufanya kazi za ndani walizoamrishwa na mama yao mzazi.

Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kaskazini Pemba,William Mwalliam Mwampaghale, tukio hilo limetokea Novemba 17, 2025 na miili ya watoto hao waolikuwa wanafunzi wa darasa la tano katika skuli ya Msingi Kizimbani, ilikutwa ikining’inia katika Kamba juu ya mti.

Amesema aliyegundua miili hiyo mita 100 kutoka nyumbani kwao, ni mama mzazi wa watoto hao, Sada Maohammed Omar baada ya kuanza kuwatafuta.

“Miili ya marehemu hao imefanyiwa uchunguzi na daktari wa hospitali ya Wilaya ya Wete iliyopo Kinyasini na kisha kukabidhiwa ndugu zao kwa ajili ya tararibu za mazishi. Uchunguzi wa awali unaonesha kuwa sababu ya tukio hilo ni kukataa kufanya kazi za ndani walizoamrishwa na mama yao mzazi na kukimbilia nje na kwenda kusikojulikana ndipo miili yao ilipopatikana wakiwa washajinyonga,”amesema.

spot_img

Latest articles

JAB yazindua mwongozo wa kisheria wa utoaji wa Ithibati ya maisha kwa waandishi

Na Mwandishi Wetu BODI ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imezindua rasmi Mwongozo wa...

BRELA YAIBUA FURSA MPYA ULINZI WA ALAMA ZA BIASHARA KWA WAJASIRIAMALI

Na Mwandishi Wetu Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) imewataka wajasiriamali wanaoshiriki...

TTB yakutanisha wadau kujadili mustakabali wa Destination Tanzania

Na Mwandishi Wetu Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) imewakutanisha wadau mbalimbali wa sekta ya...

Dkt. Jafar Seif: Banda la Ofisi ya Waziri Mkuu Sabasaba larahisisha upatikanaji wa huduma kwa wananchi

Na Mwandishi Wetu NAIBU Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za...

More like this

JAB yazindua mwongozo wa kisheria wa utoaji wa Ithibati ya maisha kwa waandishi

Na Mwandishi Wetu BODI ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imezindua rasmi Mwongozo wa...

BRELA YAIBUA FURSA MPYA ULINZI WA ALAMA ZA BIASHARA KWA WAJASIRIAMALI

Na Mwandishi Wetu Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) imewataka wajasiriamali wanaoshiriki...

TTB yakutanisha wadau kujadili mustakabali wa Destination Tanzania

Na Mwandishi Wetu Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) imewakutanisha wadau mbalimbali wa sekta ya...