Simba nayo yaenda hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika

Na Winfrida Mtoi

Mabao ya ugenini yameibeba Simba kwenda makundi Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya leo kutoka suluhu dhidi ya Nsingizini kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.

Simba imeingia makundi kutokana na ushindi wa mabao 3-0 ugenini katika mechi ya kwanza ya raundi ya pili ya michuano hiyo dhidi ya wapinzani wao hao ulifanyika nchini Eswatini.

Wanamsimbazi hao wanakamilisha idadi ya timu nne za Tanzania zilizoingia hatua ya makundi ya michuano ya CAF msimu huu ambapo Simba na Yanga Ligi ya Mabingwa wakati Azam FC na Singida BS zipo Kombe la Shirikisho Afrika.

spot_img

Latest articles

Mrindoko: Mradi wa TACTIC utanufaisha wananchi wa Mpanda

Na Mwandishi wetu, Katavi MKUU wa Mkoa wa Katavi, Mwanamvua Mrindoko, amesema utekelezaji wa Mradi...

Bil. 21.9/- za TACTIC Kujenga Kilomita 8.4 za Barabara Manispaa ya Mpanda

Na Mwandishi Wetu HALMASHAURI ya Manispaa ya Mpanda na Mkandarasi M/s Chonqing International Construction...

Yanga yatinga makundi CAFCL kibabe

Na Winfrida Mtoi Yanga imefanikiwa kutinga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL)...

Viongozi wa dini Kanda ya Kati wataka amani uchaguzi mkuu

Na Mwandishi Wetu, Dodoma VIONGOZI wa dini mbalimbali kutoka Kanda ya Kati wamewataka Watanzania...

More like this

Mrindoko: Mradi wa TACTIC utanufaisha wananchi wa Mpanda

Na Mwandishi wetu, Katavi MKUU wa Mkoa wa Katavi, Mwanamvua Mrindoko, amesema utekelezaji wa Mradi...

Bil. 21.9/- za TACTIC Kujenga Kilomita 8.4 za Barabara Manispaa ya Mpanda

Na Mwandishi Wetu HALMASHAURI ya Manispaa ya Mpanda na Mkandarasi M/s Chonqing International Construction...

Yanga yatinga makundi CAFCL kibabe

Na Winfrida Mtoi Yanga imefanikiwa kutinga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL)...