Yanga yaendeleza ubabe kwa Simba

Na Mwandishi Wetu

Yanga imeendeleza ubabe kwa Simba baada ya leo kutwaa ubingwa wa Ngao ya Jamii kwa mara nyingine ikiifunga ikishinda bao 1-0 katika mchezo uliopigwa leo Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.

Ushindi huo unaifanya Yanga kuwa wababe wa Dabi ya Karikoo ikiwafunga Simba mara ya sita mfululizo.

Mashabiki wa Simba wameonekana kuwa wangonye hasa baada ya Yanga kupata bao. Baada ya dakika 90 kumalizika licha mwamuzi kuongeza dakika 12, baadhi yao waliamua kuondoka.

spot_img

Latest articles

Serikali kuendelea kuwawezesha vijana kijamii, kiuchumi

Na Tatu Mohamed WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais – Maendeleo ya Vijana, Joel...

Kids Holiday Festival yawavuta mamia ya watoto, CRDB yatumia jukwaa kujenga uelewa wa fedha

Na Mwandishi Wetu BURUDANI na michezo mbalimbali vilitawala Tamasha la Kids Holiday Festival lililowakusanya...

Mambo: Demokrasia haijengwi kwa mashinikizo, vitisho

Na Mwandishi Wetu ALIYEKUWA Mgombea wa Bavicha Taifa, Masoud Mambo amesema kuwa demokrasia ya...

Serikali yaahidi kuimarisha uwezeshaji wa Makundi Maalum kupitia ajenda ya Maendeleo Jumuishi

Na Tatu Mohamed WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt....

More like this

Serikali kuendelea kuwawezesha vijana kijamii, kiuchumi

Na Tatu Mohamed WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais – Maendeleo ya Vijana, Joel...

Kids Holiday Festival yawavuta mamia ya watoto, CRDB yatumia jukwaa kujenga uelewa wa fedha

Na Mwandishi Wetu BURUDANI na michezo mbalimbali vilitawala Tamasha la Kids Holiday Festival lililowakusanya...

Mambo: Demokrasia haijengwi kwa mashinikizo, vitisho

Na Mwandishi Wetu ALIYEKUWA Mgombea wa Bavicha Taifa, Masoud Mambo amesema kuwa demokrasia ya...