Shughuli ya Wanamsimbazi imenoga kwa Mkapa

Na Winfrida Mtoi

MASHABIKI wa timu ya Simba wamejitokeza kwa wingi kuhakikisha wanashuhudia kilele cha Simba Day leo Septemba 10, 2025, burudani kutoka kwa wasanii mbalimbali ikiwa ni pamoja na utambulisho rasmi wa kikosi chao cha msimu mpya wa 2025/2026.

Klabu ya Simba inahitimisha sherehe hizo kwenye uwanja wa Benjamini Mkapa jijini Dar es Salaama baada ya wiki nzima kufanya shughuli mbalimbali za kijamiii katika maeneo mbalimbali nchini.

Wanamsimbazi hao waliotoka mikoa mbalimbali ya Tanzania, hamu ya kubwa ni kuona wachezaji wao wapya waliosajiliwa wakati wa utambulisho na katika mchezo wa kirafiki na Gor Mahia ya Kenya utakaopigwa saa 11:00 jioni.

spot_img

Latest articles

Polepole achana na gia ya wamachinga, ni donda ndugu

HIVI karibuni Humphrey Polepole, mwanasiasa machachari na aliyewahi kuwa balozi wa Tanzania nchini Malawi...

Mhandisi Mramba na JICA wajadili utekelezaji wa Miradi ya Nishati

Na Mwandishi Wetu KATIBU Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba amekutana na...

Ujenzi wa Kampasi ya UDOM Njombe waanza kwa kasi

Na Mwandishi Wetu UONGOZI wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) ukiongozwa na Makamu Mkuu wa...

Serikali yasitisha mchakato uchaguzi TOC

Na Mwandishi Wetu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo imesitisha mchakato wa uchaguzi wa...

More like this

Polepole achana na gia ya wamachinga, ni donda ndugu

HIVI karibuni Humphrey Polepole, mwanasiasa machachari na aliyewahi kuwa balozi wa Tanzania nchini Malawi...

Mhandisi Mramba na JICA wajadili utekelezaji wa Miradi ya Nishati

Na Mwandishi Wetu KATIBU Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba amekutana na...

Ujenzi wa Kampasi ya UDOM Njombe waanza kwa kasi

Na Mwandishi Wetu UONGOZI wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) ukiongozwa na Makamu Mkuu wa...