Mo ajiondoa Bodi ya Wakurugenzi Simba,  Barbara Gonzalez arejea

Na Mwandishi Wetu

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba, Mohammed Dewji ‘Mo’, ametangaza  kuachana na majukumu hayo na kumteua Crescentius Magori kuchukua nafasi hiyo, huku  CEO wa zamani  wa klabu hiyo, Barbara Gonzalez akiteuli miongoni mwa wajumbe wa Bodi hiyo.

Mo ametangaza mabadiliko hay oleo ambapo wajumbe wengine wakiwa ni Hussein Kitta, Azim Dewji, Rashidi Shangazi, Swedi Nkwabi, Zully Chandoo na George Ruhanga.

Amesema ameamua  kuachana na majukumu hayo  kutokana na muda mwingi kuwa mbali na klabu hivyo ameona umuhimu wa kupata viongozi waliopo karibu na wanaoweza kushiriki shughuli za kila siku.

spot_img

Latest articles

DC Msando aridhishwa uzalishaji maji Ruvu, atoa maagizo Dawasa

Na Mwandishi Wetu MKUU cmwa Wilaya ya Ubungo (DC), Albert Msando amefanya ziara katika...

Ninatamani Tume ya Charles Keenja irudi Dar es Salaam

TAIFA lipo katika kampeni za uchaguzi mkuu ambao ni mahususi kusaka madaraka ya dola....

Serikali yaondoa pingamizi shauri la Mpina, kesi kusikilizwa Jumatatu

Na Mwandishi Wetu MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Masijala Kuu Dodoma imepanga kusikiliza kesi ya ACT...

Matumizi ya Nishati Safi kupikia yapata msukumo mpya

Na Mwandishi Wetu, Mwanza MATUMIZI ya nishati safi ya kupikia yamepata msukumo mpya jijini Mwanza...

More like this

DC Msando aridhishwa uzalishaji maji Ruvu, atoa maagizo Dawasa

Na Mwandishi Wetu MKUU cmwa Wilaya ya Ubungo (DC), Albert Msando amefanya ziara katika...

Ninatamani Tume ya Charles Keenja irudi Dar es Salaam

TAIFA lipo katika kampeni za uchaguzi mkuu ambao ni mahususi kusaka madaraka ya dola....

Serikali yaondoa pingamizi shauri la Mpina, kesi kusikilizwa Jumatatu

Na Mwandishi Wetu MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Masijala Kuu Dodoma imepanga kusikiliza kesi ya ACT...