Dodoma Jiji yatangaza mrithi wa Maxime

Na Mwandishi Wetu

Klabu ya Dodoma Jiji yamtangaza kocha Vincent Mashami kutoka Polisi FC ya Rwanda akichukua nafasi ya Mecky Maxime aliyeondoka mwishoni  msimu uliomalizika.

Kwa mujibu wa taarifa ya klabu hiyo leo Agosti 6, 2025, Mashami amejiunga na klabu hiyo kwa mkataba wa miaka miwili.

Nelson Munganga

Katika hatua nyingine Dodoma Jiji imemtambulisha kiungo, Nelson Munganga raia wa DR Congo akitokea Tabora United.

Munganga mwenye umri wa miaka 32 aliwahi kuitumikia klabu ya AS Vita na DC Motema Pembe ya Cobgo DRC na Moulodia, MAS Fes za Morocco.

Dodoma Jiji inaimarisha kikosi chake kuelekea msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya msimu uliopita kumaliza katika nafasi 12 na pointi 34.

spot_img

Latest articles

Dk. Mwigulu ajadiliana na Kamati ya Maandalizi AFCON 2027

Na Mwandishi Wetu WAZIRI Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba amekutana na  Kamati ya Kitaifa ya Maandalizi...

Coastal Union yawatembezea kichapo maafande wa Magereza

Na Mwandishi Wetu TIMU ya Coastal Union imetembeza kichapo cha mabao 4-1 kwa maafande wa...

Simba yazitaka pointi tatu kwa KMC kesho

Na Winfrida Mtoi KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Steve Barker ameweka wazi kuwa hakuna...

Msajili wa Hazina aikaribisha Jeune Afrique Media Group kuangazia fursa za uwekezaji

Na Mwandishi Wetu MSAJILI wa Hazina, Nehemiah Mchechu, amekutana na kufanya mazungumzo na Frederic...

More like this

Dk. Mwigulu ajadiliana na Kamati ya Maandalizi AFCON 2027

Na Mwandishi Wetu WAZIRI Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba amekutana na  Kamati ya Kitaifa ya Maandalizi...

Coastal Union yawatembezea kichapo maafande wa Magereza

Na Mwandishi Wetu TIMU ya Coastal Union imetembeza kichapo cha mabao 4-1 kwa maafande wa...

Simba yazitaka pointi tatu kwa KMC kesho

Na Winfrida Mtoi KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Steve Barker ameweka wazi kuwa hakuna...