CCM yaja na mbinu mpya kudhibiti uzushi

Na Mwandishi Wetu

Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimeanza kutumia nembo maalumu (QR Code) ya utambuzi wa taarifa zake ili kuzuia na kudhibiti uzushi na upotoshaji.

Kupitia taarifa iliyotolewa na chama hicho leo Julai 21, 2025, imesema kufahamu taarifa halisi ya vyanzo rasmi vya chama hicho utafanya uhakiki kwa ku- scan nembo hiyo.

“Taarifa yoyote ya uongo, ambayo watu wenye malengo ovu wanakuwa wameitengeneza kwa ajili kuzua tafrani na kupotosha jamii, msomaji aki- scan haiwezi kupelekwa, wala hawezi kuikuta kwenye vyanzo rasmi vya chama, iwe tovuti au kurasa za mitandao ya kijamii ya CCM,” imesema taarifa hiyo.

spot_img

Latest articles

Mnyama Simba afia kwa Mkapa, Yanga, Azam kicheko

Na Winfrida Mtoi LIGI Kuu Tanzania Bara imeendelea leo Novemba 7, 2025 kwa michezo miwili...

Waziri Aweso aweka kambi Dar kupambana na changamoto upungufu wa maji

Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Maji, Jumaa Aweso (Mb) amefanya ziara ya kikazi katika...

Waziri wa Nishati Ndejembi azindua rasmi mita janja

Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Nishati, Deogratius Ndejembi amezindua rasmi mita janja (smart meter)...

RC Kunenge: Mto Ruvu ubaki kwa matumizi ya binadamu tu, tusitishe shughuli nyingine kwa muda

Na Mwandishi Wetu MKUU wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ametoa wito kwa wakulima...

More like this

Mnyama Simba afia kwa Mkapa, Yanga, Azam kicheko

Na Winfrida Mtoi LIGI Kuu Tanzania Bara imeendelea leo Novemba 7, 2025 kwa michezo miwili...

Waziri Aweso aweka kambi Dar kupambana na changamoto upungufu wa maji

Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Maji, Jumaa Aweso (Mb) amefanya ziara ya kikazi katika...

Waziri wa Nishati Ndejembi azindua rasmi mita janja

Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Nishati, Deogratius Ndejembi amezindua rasmi mita janja (smart meter)...