Arajiga kuchezesha CHAN

Na Mwandishi Wetu

Mwamuzi  wa Tanzania  ,Ahmed Arajiga  ni miongoni  mwa waamuzi wa  wameteuliwa  kuchezesha michuano ya  CHAN yanayotarajiwa kuanza kutimua vumbi Agosti 2,2025.

Uteuzi huo wa Arajiga ni muendelezo wa kupata nafasi ya kuchezesha mashindano mkubwa,  kwani amekuwa akifanya vizuri katika mashindano akisimama kama mwamuzi wa kati.

Mwamuzi mwingine kutoka Tanzania ambaye ameteuliwa kushiriki katika michuano hiyo Ally Hamdani Said, ambaye atatumika kama mwamuzi msaidizi.

Fainali za CHAN zitachezwa katika chi tatu za Afrika Mashariki   ambazo ni  Tanzania, Kenya, na Uganda ambapo ufunguzi utafanyika Tanzania, huku mechi ya ufunguzi ikitarajiwa kuikutanisha Taifa Stars na Burkina Faso kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.   

spot_img

Latest articles

Rasmi Kocha Yanga afungashiwa virago usiku

Na Mwandishi Wetu Uongozi wa Klabu ya Yanga umevunja mkataba na Kocha Mkuu, Romain Folz. ...

Mwanamke ashikiliwa  Polisi kwa  kumuua mume wake na kumfukia ndani ya nyumba yao

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita linamshikilia mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina...

Padre aliyepotea apatikana akiwa hai

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma limefanikiwa kumpata Padre Camillus Nikata wa Jimbo...

More like this

Rasmi Kocha Yanga afungashiwa virago usiku

Na Mwandishi Wetu Uongozi wa Klabu ya Yanga umevunja mkataba na Kocha Mkuu, Romain Folz. ...

Mwanamke ashikiliwa  Polisi kwa  kumuua mume wake na kumfukia ndani ya nyumba yao

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita linamshikilia mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina...