Arajiga kuchezesha CHAN

Na Mwandishi Wetu

Mwamuzi  wa Tanzania  ,Ahmed Arajiga  ni miongoni  mwa waamuzi wa  wameteuliwa  kuchezesha michuano ya  CHAN yanayotarajiwa kuanza kutimua vumbi Agosti 2,2025.

Uteuzi huo wa Arajiga ni muendelezo wa kupata nafasi ya kuchezesha mashindano mkubwa,  kwani amekuwa akifanya vizuri katika mashindano akisimama kama mwamuzi wa kati.

Mwamuzi mwingine kutoka Tanzania ambaye ameteuliwa kushiriki katika michuano hiyo Ally Hamdani Said, ambaye atatumika kama mwamuzi msaidizi.

Fainali za CHAN zitachezwa katika chi tatu za Afrika Mashariki   ambazo ni  Tanzania, Kenya, na Uganda ambapo ufunguzi utafanyika Tanzania, huku mechi ya ufunguzi ikitarajiwa kuikutanisha Taifa Stars na Burkina Faso kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.   

spot_img

Latest articles

Rais Samia atoa  wito utekelezaji Dira ya Taifa 2050, asema Dk. Mpango hatapumzika

Na Mwandishi Wetu Rais Samia Suluhu Hassan, amezindua rasmi Dira ya Taifa ya Maendeleo ya...

Rostam: Hatuwezi kufanikiwa kwa kuwatenga wafanyabiashara wa ndani na kutegemea wageni

Na Mwandishi Wetu MFANYABIASHARA maarufu na mwakilishi wa sekta binafsi, Rostam Azizi, amesema kuwa...

Jaji Mkuu Masaju amepita mlemle

JAJI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, George Mcheche Masaju amemaliza mwezi mmoja...

Ally Kamwe akiri kuvutiwa na Tshabalala

Na Mwandishi Wetu Ofisa Habari wa klabu  ya Yanga Ally  Kamwe amesema licha ya kuwa yupo upande...

More like this

Rais Samia atoa  wito utekelezaji Dira ya Taifa 2050, asema Dk. Mpango hatapumzika

Na Mwandishi Wetu Rais Samia Suluhu Hassan, amezindua rasmi Dira ya Taifa ya Maendeleo ya...

Rostam: Hatuwezi kufanikiwa kwa kuwatenga wafanyabiashara wa ndani na kutegemea wageni

Na Mwandishi Wetu MFANYABIASHARA maarufu na mwakilishi wa sekta binafsi, Rostam Azizi, amesema kuwa...

Jaji Mkuu Masaju amepita mlemle

JAJI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, George Mcheche Masaju amemaliza mwezi mmoja...