Arajiga kuchezesha CHAN

Na Mwandishi Wetu

Mwamuzi  wa Tanzania  ,Ahmed Arajiga  ni miongoni  mwa waamuzi wa  wameteuliwa  kuchezesha michuano ya  CHAN yanayotarajiwa kuanza kutimua vumbi Agosti 2,2025.

Uteuzi huo wa Arajiga ni muendelezo wa kupata nafasi ya kuchezesha mashindano mkubwa,  kwani amekuwa akifanya vizuri katika mashindano akisimama kama mwamuzi wa kati.

Mwamuzi mwingine kutoka Tanzania ambaye ameteuliwa kushiriki katika michuano hiyo Ally Hamdani Said, ambaye atatumika kama mwamuzi msaidizi.

Fainali za CHAN zitachezwa katika chi tatu za Afrika Mashariki   ambazo ni  Tanzania, Kenya, na Uganda ambapo ufunguzi utafanyika Tanzania, huku mechi ya ufunguzi ikitarajiwa kuikutanisha Taifa Stars na Burkina Faso kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.   

spot_img

Latest articles

Rais Samia amuasili mtoto mchanga aliyetelekezwa Nzega

Na Mwandishi Wetu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ,Samia Suluhu Hassan, amemuasili mtoto...

Beki Yanga afanyiwa upasuaji Afrika Kusini

Na Mwandishi Wetu NAHODHA msaidizi wa timu ya Yanga na mchezaji wa timu ya Taifa...

Rostam aanika maono yake umiliki mpya ya NMG

Na Mwandishi Wetu MFANYABIASHARA na mwekezaji wa Tanzania, Rostam Azizi, ametangaza uwekezaji mkubwa wa kimkakati...

Tanzania Kunufaika na Mradi wa Umoja wa Ulaya wa Kukabiliana na Hatari za Sumu za Kemikali

Na Mwandishi wetu TANZANIA iko katika hatua za awali za upembuzi wa kushiriki katika mradi...

More like this

Rais Samia amuasili mtoto mchanga aliyetelekezwa Nzega

Na Mwandishi Wetu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ,Samia Suluhu Hassan, amemuasili mtoto...

Beki Yanga afanyiwa upasuaji Afrika Kusini

Na Mwandishi Wetu NAHODHA msaidizi wa timu ya Yanga na mchezaji wa timu ya Taifa...

Rostam aanika maono yake umiliki mpya ya NMG

Na Mwandishi Wetu MFANYABIASHARA na mwekezaji wa Tanzania, Rostam Azizi, ametangaza uwekezaji mkubwa wa kimkakati...