Rais Samia azindua Daraja la JP Magufuli

Na Mwandishi Wetu

Rais Samia Suluhu Hassan leo Juni 19, 2025 amezindua rasmi Daraja la  John Pombe Magufuli (Kigongo – Busisi) lililopo mkoani Mwanza, ili lianze kutumika  bade ya kukamilika  kwa asilimia 100.

Daraja hilo linaunganisha Wilaya ya Misungwi kupitia eneo la Kihongo na Wilaya ya Sengerema kupita eneo la Busisi, likiwa na urefu wa kilomita tatu pamoja na barabara unganishi zenye urefu wa kilomita 1.66.

Ujenzi wa daraja hilo uliasisiwa na Hayati Magufuli na aliyefariki Machi 17, 2021 likiwa limefikia asilimia 24.6 za utekelezwaji wake na mrithi wake, Rais Samia  aliendeleza na hatimaye kukamilisha.

spot_img

Latest articles

Dk. Biteko ataka  Afrika kupewa uhuru wa kuzalisha nishati kwa kutumia rasilimali zilizopo

Na Mwandishi Maalum Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati,  Dk. Doto Biteko ametoa wito...

Mke mkubwa ajiua na wanawe wanne kwa sumu kisa  mume  kumpendelea  huduma mke mdogo

Na Mwandishi Wetu Mwanamke  aitwaye Kangw’a Tungu Mahigi(25) mkazi wa Kata ya Lugubu wilayani Igunga mkoani...

WMA yaendesha zoezi la uhakiki Mita za umeme Viwandani

Na Mwandishi Wetu, Dodoma WAKALA wa Vipimo (WMA) unaendesha zoezi la kuhakiki mita za...

‘Energy drinks’ zitaangamiza taifa

KILA mwaka wa uchaguzi serikali ina kawaida ya kutoa bajeti inayogusa wananchi walio wengi,...

More like this

Dk. Biteko ataka  Afrika kupewa uhuru wa kuzalisha nishati kwa kutumia rasilimali zilizopo

Na Mwandishi Maalum Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati,  Dk. Doto Biteko ametoa wito...

Mke mkubwa ajiua na wanawe wanne kwa sumu kisa  mume  kumpendelea  huduma mke mdogo

Na Mwandishi Wetu Mwanamke  aitwaye Kangw’a Tungu Mahigi(25) mkazi wa Kata ya Lugubu wilayani Igunga mkoani...

WMA yaendesha zoezi la uhakiki Mita za umeme Viwandani

Na Mwandishi Wetu, Dodoma WAKALA wa Vipimo (WMA) unaendesha zoezi la kuhakiki mita za...