YANGA YAIBAMIZA AZAM, TABORA HALI TETE, COASTAL YAZINDUKIA MKWAKWANI

Na Mwandishi Wetu

Yanga imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Azam FC katika mchezo Ligi Kuu Tanzania Bara kwenye Uwanja Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam.

Katika mchezo huo mabao ya Yanga yalifungwa na Pacome Zouzoua dk 11, Prince Dube dk 34 wakati la Azam likifungwa na Lusajo Mwaikenda dk 81.

Wakati huo huo timu ya Tabora United imepoteza mchezo wa nne mfululizo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, baada ya leo Aprili 10, 2025 kufungwa mabao 3-0 na Mashujaa FC katika kwenye Uwanja wa Lake Tanganyika, Kigoma.

Kabla ya mchezo wa leo ilitoka kufungwa na Pamba 1-0, CCM Kirumba, Mwanza, imepoteza nyumbani dhidi ya Yanga 3-0, na JKT Tanzania iliifunga 2-1.

Nayo Coastal Union baada ya kukosa ushindi katika michezo nane mfululizo leo imezinduka kwa kuifunga Singida BS mabao 2-1 kwenye Uwanja wa Mkwakwani, jijini Tanga.

spot_img

Latest articles

Kata za Mzinga, Malangali kupiga kura kuchagua madiwani kesho

Na Mwandishi wetu, Dodoma JUMLA ya Wapiga Kura 38,151 walioandikishwa katika Daftari la Kudumu la...

TCAA yapokea ugeni kutoka Wizara Ujenzi na Uchukuzi Zanzibar

Na Mwandishi Wetu MAMLAKA ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) ikiongozwa na Kaimu Mkurugenzi...

Dawa na vifaa tiba vya Mil. 822.8 vyakamatwa Tabora

Na Mwandishi wetu,TABORA MAMLAKA ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) Kanda ya Magharibi imefanya...

Yanga yaikung’uta vibaya Mashujaa FC

Na Winfrida Mtoi WANANCHI Yanga wameichakaza timu ya Mashujaa mabao 6-0, huku nyota mpya wa...

More like this

Kata za Mzinga, Malangali kupiga kura kuchagua madiwani kesho

Na Mwandishi wetu, Dodoma JUMLA ya Wapiga Kura 38,151 walioandikishwa katika Daftari la Kudumu la...

TCAA yapokea ugeni kutoka Wizara Ujenzi na Uchukuzi Zanzibar

Na Mwandishi Wetu MAMLAKA ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) ikiongozwa na Kaimu Mkurugenzi...

Dawa na vifaa tiba vya Mil. 822.8 vyakamatwa Tabora

Na Mwandishi wetu,TABORA MAMLAKA ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) Kanda ya Magharibi imefanya...