Watu wawili wafariki, 16 wajeruhiwa katika ajali ya basi Songwe

Na Mwandishi Wetu, Media Brains

Watu wawili wamefariki dunia na wengine 16 kujeruhiwa baada ya basi walilokuwa wakisafiria kugonga daraja na kutumbukia mtoni katika eneo la Mlima Myovizi, mkoani Songwe.

Ajali hiyo, iliyotokea leo Julai 15 saa 12 asubuhi, ilihusisha basi la Ngasere High Class lililokuwa likisafiri kutoka Dodoma kwenda Tunduma, mkoani Songwe.

Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe, Gallus Hyera, amethibitisha kutokea kwa vifo hivyo viwili na majeruhi 16 katika ajali hiyo, ambayo ilitokea baada ya basi hilo kugonga nguzo ya daraja na kutumbukia mtoni.

Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Wilaya ya Mbozi, Dk. Kelvin Masae, amethibitisha kupokea majeruhi 16 ambao wanaendelea kupatiwa matibabu, huku wengine wakipewa rufaa kwenda Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Songwe.

spot_img

Latest articles

Rostam Azizi aeleza jinsi alivyoshirikisha wadau kuunda mfumo imara wa vyombo binafsi vya habari

Na Mwandishi Wetu Mfanyabiasha   Rostam Azizi ameeleza  mbinu waliyotumia kuhakikisha tasnia ya habari inaimarika nchini...

Wachezaji wawili Yanga wageukia masumbwi, kuzichapa Julai 26 Dar

Na Winfrida Mtoi Wachezaji wa Yanga, Kibwana Shomari na Denis Nkane wamajitosa kwenye mchezo wa...

Watendaji Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 wafundwa

Na Mwandishi wetu TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imewaasa watendaji wa uchaguzi...

Prof. Kabudi: Anayefanya kazi bila ‘Press Card’ anavunja Sheria

Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Prof. Palamagamba Kabudi amesema...

More like this

Rostam Azizi aeleza jinsi alivyoshirikisha wadau kuunda mfumo imara wa vyombo binafsi vya habari

Na Mwandishi Wetu Mfanyabiasha   Rostam Azizi ameeleza  mbinu waliyotumia kuhakikisha tasnia ya habari inaimarika nchini...

Wachezaji wawili Yanga wageukia masumbwi, kuzichapa Julai 26 Dar

Na Winfrida Mtoi Wachezaji wa Yanga, Kibwana Shomari na Denis Nkane wamajitosa kwenye mchezo wa...

Watendaji Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 wafundwa

Na Mwandishi wetu TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imewaasa watendaji wa uchaguzi...