SEHEMU YA NCHI GIZANI

Sehemu kadhaa nchini zimekumbwa na ‘giza’ kwa saa kadhaa leo Jumatatu Machi 4, 2024, baada ya umeme kukatika kutokana na kile ambacho Shirika la Umeme Tanzania [TANESCO] limekitaja kuwa ni hitilafu iliyotokea katika gridi ya Taifa.

Taarifa iliyotolewa na Tanesco imesema hitilafu hiyo ingesababisha kukosekana kwa umeme kwa baadhi ya maeneo ya Tanzania Bara na Zanzibar.”Shirika linawaomba radhi kwa usumbufu wowote utakao jitokeza”, inasomeka sehemu ya taarifa hiyo.

Kwa upande mwingine, Mtandao wa Millardayo umelinukuu Shirika la Umeme Zanzibar [ZECO] likisema Zanzibar nzima imekosa umeme kuanzia saa 7 mchana wa leo kutokana na hitilafu iliyotokea Tegeta, Dar es Salaam.

“Mpendwa mteja kuna hitilafu ya umeme mkubwa mkondo wa kilovolti 132 kutoka Tegeta Bara kuja Zanzibar kuliko sababisha kuzimika umeme hafla maeneneo yote ya Zanzibar. Zeco inaomba radhi kwa usumbufu unaoendelea kujitokeza ahsante,” ZECO

spot_img

Latest articles

JAB YASOGEZA HUDUMA ZA ITHIBATI KARIBU NA WAANDISHI DODOMA

Na Mwandishi Wetu BODI ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeanza kutoa huduma...

Wadau wavutiwa elimu ya vipimo maadhimisho wiki ya utumishi wa umma

Na Mwandishi Wetu WADAU mbalimbali waliotembelea Banda la Wakala wa Vipimo (WMA) katika siku ya...

Tanesco yakamilisha miradi ya kuimarisha upatikanaji wa umeme Dodoma

📌 Itanufaisha wilaya za Kongwa,Gairo, Mpwapwa, na Chamwino 📌 Waziri Ndejembi azindua Kituo cha...

Taasisi za Umma Kukabidhi gawio Ikulu Juni 30 Dar es Salaam

Na Mwandishi Wetu OFISI ya Msajili wa Hazina imetangaza siku ya Gawio 2026 itafanyika...

More like this

JAB YASOGEZA HUDUMA ZA ITHIBATI KARIBU NA WAANDISHI DODOMA

Na Mwandishi Wetu BODI ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imeanza kutoa huduma...

Wadau wavutiwa elimu ya vipimo maadhimisho wiki ya utumishi wa umma

Na Mwandishi Wetu WADAU mbalimbali waliotembelea Banda la Wakala wa Vipimo (WMA) katika siku ya...

Tanesco yakamilisha miradi ya kuimarisha upatikanaji wa umeme Dodoma

📌 Itanufaisha wilaya za Kongwa,Gairo, Mpwapwa, na Chamwino 📌 Waziri Ndejembi azindua Kituo cha...