SEHEMU YA NCHI GIZANI

Sehemu kadhaa nchini zimekumbwa na ‘giza’ kwa saa kadhaa leo Jumatatu Machi 4, 2024, baada ya umeme kukatika kutokana na kile ambacho Shirika la Umeme Tanzania [TANESCO] limekitaja kuwa ni hitilafu iliyotokea katika gridi ya Taifa.

Taarifa iliyotolewa na Tanesco imesema hitilafu hiyo ingesababisha kukosekana kwa umeme kwa baadhi ya maeneo ya Tanzania Bara na Zanzibar.”Shirika linawaomba radhi kwa usumbufu wowote utakao jitokeza”, inasomeka sehemu ya taarifa hiyo.

Kwa upande mwingine, Mtandao wa Millardayo umelinukuu Shirika la Umeme Zanzibar [ZECO] likisema Zanzibar nzima imekosa umeme kuanzia saa 7 mchana wa leo kutokana na hitilafu iliyotokea Tegeta, Dar es Salaam.

“Mpendwa mteja kuna hitilafu ya umeme mkubwa mkondo wa kilovolti 132 kutoka Tegeta Bara kuja Zanzibar kuliko sababisha kuzimika umeme hafla maeneneo yote ya Zanzibar. Zeco inaomba radhi kwa usumbufu unaoendelea kujitokeza ahsante,” ZECO

spot_img

Latest articles

Yanga yaendeleza ubabe kwa Simba

Na Mwandishi Wetu Yanga imeendeleza ubabe kwa Simba baada ya leo kutwaa ubingwa wa Ngao...

CRDB Foundation na GIZ wazindua mradi wa Ajira Ye2, kuzalisha zaidi ya ajira 500

Na Mwandishi Wetu TAASISI ya CRDB Bank Foundation kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo la...

Taasisi za Umma zapitisha maazimio tisa ya kuimarisha ufanisi

Na Mwandishi Wetu ZAIDI ya Wenyeviti wa Bodi na Wakuu wa Taasisi za Umma 650...

Chama aipa Singida Bs ubingwa wa CECAFA

Na Mwandishi Wetu Mabao mawili yaliyofungwa na Clatous Chama yamefanikisha timu ya Singida Bs kutwaa...

More like this

Yanga yaendeleza ubabe kwa Simba

Na Mwandishi Wetu Yanga imeendeleza ubabe kwa Simba baada ya leo kutwaa ubingwa wa Ngao...

CRDB Foundation na GIZ wazindua mradi wa Ajira Ye2, kuzalisha zaidi ya ajira 500

Na Mwandishi Wetu TAASISI ya CRDB Bank Foundation kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo la...

Taasisi za Umma zapitisha maazimio tisa ya kuimarisha ufanisi

Na Mwandishi Wetu ZAIDI ya Wenyeviti wa Bodi na Wakuu wa Taasisi za Umma 650...