Msafara wa Makonda wapata ajali Masasi

Msafara wa Katibu wa NEC – Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Paul Makonda umepata ajali katika eneo la Masasi mkoani Mtwara.

Ajali hiyo iliyotokea saa 9 alasiri imehusisha zaidi ya magari 7 yaliyokuwa kwenye msafara huo, uliokuwa unatokea mkoani Ruvuma kuelekea, Dar es Salaam.

Taarifa zilizothibitishwa kutoka eneo la tukio zinaeleza kuwa takriban watu 7 wamejeruhiwa na kukimbizwa katika Hospital ya Mkoa wa Mtwara [Ligula] kwa ajili ya matibabu. Hakuna kifo kilichoripotiwa.

Chanzo: Mwanahabari Digital

spot_img

Latest articles

MINZIRO NA PAMBA YAKE NAWAPIGA TU

Na Mwandishi Wetu Timu ya Pamba Jiji chini ya Kocha Felix Minziro (Majeshi, Baba Isaya)...

Majaliwa azitaka Mamlaka za Mikoa, Taasisi za Elimu kusimamia utekelezaji Sera ya elimu

Na Mwandishi Wetu WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amezielekeza mamlaka za mikoa, halmashauri na taasisi za...

Bidhaa ‘feki’ zadidimiza Watanzania lindi la umasikini

Watanzania wanazidi kunasa katika mzunguko wa umasikini unaosababishwa na kushamiri kwa bidhaa duni na...

More like this

MINZIRO NA PAMBA YAKE NAWAPIGA TU

Na Mwandishi Wetu Timu ya Pamba Jiji chini ya Kocha Felix Minziro (Majeshi, Baba Isaya)...

Majaliwa azitaka Mamlaka za Mikoa, Taasisi za Elimu kusimamia utekelezaji Sera ya elimu

Na Mwandishi Wetu WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amezielekeza mamlaka za mikoa, halmashauri na taasisi za...