MCHEZAJI wa soka nchini Ghana, Dominic Frimpong, ameuawa kwa kupigwa risasi baada ya jana Jumapili usiku na majambazi wenye silaha kushambulia basi la timu yake ya Berekum Chelsea.
Tukio hilo lilitokea katika barabara ya Goaso–Bibiani wakati timu ikirejea nyumbani baada mchezo wa ya Ligi...
Na Winfrida Mtoi
KLABU ya Taliss IST imezidi kujikita kileleni mwa mchezo wa kuogelea nchini baada ya kufanikiwa kutwaa ubingwa wa Mashindano ya Taifa ya Klabu kwa mara ya tisa mfululizo.
Katika mashindano hayo ya 18 tangu kuanzishwa kwake, yaliyofanyika jijini Dar es Salaam kuanzia Aprili...