Na Tatu Mohamed
Tanzania ipo katika hatua za awali za mchakato wa kuanza uzalishaji wa umeme wa nyuklia, huku ikikamilisha maandalizi muhimu na kusubiri tathmini ya wataalamu wa kimataifa itakayobaini kiwango cha utayari wa nchi kuingia rasmi katika awamu ya kwanza ya utekelezaji wa mradi...
Na Mwandishi Wetu
TANZANIA na Angola zimeahidi kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi kwa kuongeza biashara na uwekezaji kati ya nchi hizo mbili, huku zikisisitiza umuhimu wa kutumia fursa zilizopo kuchochea ukuaji wa uchumi na uzalishaji wa viwanda.
Kauli hiyo ilitolewa wakati wa maadhimisho ya Siku ya Angola...