Na Mwandishi Wetu
WAZIRI Mkuu, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, amesema Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) imeendelea kuwa chombo muhimu cha Serikali katika kufadhili maendeleo ya sekta za kilimo, mifugo na uvuvi, huku akiitaka kuongeza uwezo wake wa kifedha ili kuwafikia wakulima, wafugaji...
Na Mwandishi Wetu
WAKALA wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) umetoa wito kwa wakulima na wananchi kwa ujumla kutumia Maonesho ya Kitaifa ya Wakulima 'Nanenane' kupata huduma za urasimishaji wa biashara, ukisema hatua hiyo itawawezesha kushiriki kikamilifu katika uchumi rasmi na kunufaika na fursa...