Na Mwandishi Wetu, Dodoma
MAMLAKA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imekuja na mashine ya kisasa ya kupiga mpunga inayoweza kupunguza kwa zaidi ya nusu nguvu kazi inayohitajika katika kazi hiyo, hatua inayotarajiwa kuongeza tija na kupunguza gharama za uzalishaji kwa wakulima.
Mashine hiyo...
Na Mwandishi Wetu
CHAMA Kikuu cha Ushirika cha TAMKU kimeanza kutekeleza mkakati wa kupanua uwekezaji wake katika mnyororo wa thamani wa mazao ya kilimo, ikiwemo usafirishaji, uhifadhi na uchakataji wa korosho, hatua inayolenga kuongeza mapato ya wakulima na thamani ya mazao nchini.
Akizungumza katika Maonesho...