Na Mwandishi Wetu
VIJANA nchini wamehimizwa kutumia nguvu kazi, maarifa na ubunifu wao kuchangamkia fursa zinazotolewa na Sekta ya Madini badala ya kusubiri misaada au mitaji kutoka serikalini, huku wakitakiwa kuanza na rasilimali walizonazo ili kujenga mafanikio ya kiuchumi.
Wito huo umetolewa kwenye Maonesho...
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL), kupitia Kituo cha Taifa cha Kuhifadhi Taarifa Kidijitali (National Internet Data Centre – NIDC), linatumia Maonesho ya Kitaifa ya Kilimo ya Nanenane yanayoendelea jijini Dodoma kuhamasisha wananchi, wanafunzi, taasisi na wafanyabiashara kutumia huduma za Cloud kuhifadhi...