Na Mwandishi Wetu
ZAIDI ya waogeleji 600 wanatarajiwa kushiriki katika mashindano ya kuogelea ya chipukizi kwa vijana wadogo ‘East Africa Development Swimming Gala’ yatakayoanza Aprili 18 hadi 19, 2026 katika bwawa la Shule ya Sekondari ya FK iliyopo Jijini Dar es Salaam.
Mashindano hayo yaliyondaliwa na...
Na Mwandishi Wetu
SIMBA imechukua alama zote tatu kwa Fountain Gate kufuatia ushindi wa 3-0 katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa dimba la Sheikh Amri Abeid, Arusha.
Katika mchezo ulichezwa leo Aprili 15,2026 mabao ya Simba yamefungwa na Clatous Chama (dk 45+6), Libase Gueye (dk...