MSINGI ni neno linalobeba maana kubwa katika mambo mengi. Katika ujenzi iwe wa barabara au nyumba, msingi ni kitu cha umuhimu wa kipekee ili kufanikisha hicho kinachotakiwa kujengwa. Msingi ni kila kitu, ukikosewa iwe katika ujenzi, iwe katika malezi, iwe katika elimu, iwe katika...
Na Mwandishi wa OMH, Dar es Salaam
TANZANIA imeonesha nia ya kutumia uzoefu wa China katika mageuzi ya mashirika ya umma, ikiwa ni sehemu ya mkakati mpana wa serikali wa kuongeza ufanisi, faida na uwajibikaji katika uwekezaji wa umma.
Nia hiyo ilibainishwa Jumatatu, Mei 18, 2026,...