Na Mwandishi Wetu
MAKAMU wa Rais Dk. Emmanuel Nchimbi ametoa rai kwa Majaji na Mahakimu nchini kuwa uhuru wa Mahakama usitumike kama sehemu ya kuficha uzembe, upendeleo au vitendo visivyo vya haki na kuwataka kutekeleza majukumu yao ya utoaji haki kwa weledi, uadilifu na kwa...
Na Mwandishi Wetu
RAIS Samia Suluhu Hassan ameondoka nchini leo Februari 2, 2026 kwenda Dubai, Falme za Kiarabu, ambapo anatarajiwa kushiriki katika uzinduzi wa mpango wa Global Africa Investment Summit (GAIS) utakaofanyika kwa pamoja na mkutano wa Dunia wa Serikali (WGS 2026).Mkutano wa WGS...