Na Mwandishi Wetu
WAZIRI Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kusimamia upatikanaji wa bidhaa za mafuta ya petroli na mafuta mengine ili kuhakikisha bei zake zinaendelea kuwa himilivu, licha ya kuwepo kwa changamoto za kiusalama za kikanda na kimataifa ikiwemo za Mashariki ya Kati...
Na Mwandishi Wetu
MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei mpya za mafuta ya petroli, dizeli na mafuta ya taa zilizoanza kutumika rasmi kuanzia leo Aprili Mosi, 2026, ambapo bei za rejareja jijini Dar es Salaam petroli inauzwa kwa Sh....