📌 Aomba radhi kwa wateja wananchi na kuwahakikishia upatikanaji endelevu wa huduma ya umeme
📌 Asema uzalishaji wa umeme umefikia megawati 4400 na juhudi za kuimarisha Mfumo wa Gridi zinaendelea
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Bw. Lazaro Twange, leo amewaomba radhi wananchi na...
TAIFA la Tanzania ni nchi huru iliyojitawala kwa takribani miaka 65 sasa, tangu bendera ya Muingereza iliposhushwa Desemba 9, 1961. Taifa hili pia ni sehemu ya jumuiya ya kimataifa. Ndiyo maana tangu uhuru, Tanzania imekuwa ikisumbuka kwa kujihusisha na mambo mengi ya jumuiya ya...