Na Mwandishi Wetu
MHITIMU wa mafunzo ya ufundi stadi kupitia VETA, Ernest Maranya, amebuni na kutengeneza mashine za kuongeza thamani ya mazao mbalimbali ya kilimo, hatua iliyomwezesha kujiajiri kwa kuanzisha kampuni inayotengeneza teknolojia za usindikaji wa mazao.
Maranya amesema kampuni yake yenye makao makuu jijini...
Na Mwandishi Wetu, Mara
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amesema Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, imeelekeza kuwa wananchi wote ambao wamepitiwa na miundombinu ya umeme lakini bado hawajaunganishiwa huduma hiyo waunganishiwe kwa gharama...