📌Ni katika muendelezo wa ukaguzi wa miundombinu ya umeme Dar es salaam
📌Yatoa rai kwa wananchi kuondoka kwa ajili ya usalama wa maisha na mali zao
Na Mwandishi Wetu
SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limeendelea kuwasisitiza wananchi wanaofanya shughuli zao za kiuchumi katika miundombinu ya umeme...
Na Mwandishi Wetu
MAPAMBANO dhidi ya upotevu wa maji yamepokelewa vyema na uongozi wa Mkoa wa Pwani, huku Mkuu wa Mkoa huo, Mheshimiwa Aboubakar Kunenge, akitaka Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) kuongeza kasi ya maboresho ya huduma ya...