Na Mwandishi WetuRAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ametembelea mradi wa Mji wa AFCON - 2027 Fumba uliopo Mkoa wa Mjini Magharibi, pamoja na kukagua uwanga unaotarajia kutumika kwa michuano hiyo
Ziara hiyo imefanyika leo Aprili 14, 2026,...
Na Winfrida Mtoi
UONGOZI wa Klabu ya Simba umeweka wazi hatua kali za kinidhamu zilizochukuliwa dhidi ya mshambuliaji wao, Jonathan Sowah, ikiwemo kuondolewa kwenye kikosi cha wakubwa na kutakiwa kufanya mazoezi na timu ya vijana (U-20).
Hatua hiyo imekuja kufuatia malalamiko mfululizo kutoka kwa Benchi la...