Na Mwandishi wetu
WANAFUNZI watatu wa Shule ya Msingi Msongola iliyopo eneo la Msongola, wilayani Ilala jijini Dar es Salaam, wamefariki dunia baada ya kupigwa na radi.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kamanda Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema tukio hilo...
Na Mwandishi wetu
SERIKALI imewataka wakurugenzi wa bodi za kampuni ambazo ina umiliki wa hisa chache kuhakikisha uongozi wao unaleta tija inayopimika kwa Serikali na wananchi, huku mkutano wa wakurugenzi wa kampuni zenye hisa chache za serikali (MIF 2026) ukifikia tamati jijini Arusha.
Akifunga mkutano...