Na Mwandishi Wetu
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetangaza kuwa na msimu wa Kipupwe Juni hadi Agosti mwaka 2026 unatarajiwa kuwa na hali ya baridi katika maeneo mengi ya nchi, huku mwezi Julai ukitajwa kuwa na vipindi vya baridi kali zaidi.
Akizungumza na...
Na Mwandishi Wetu
SERIKALI imeendelea kutekeleza mikakati iliyoanishwa katika Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 kupitia uwekezaji wa Kiwanda cha Sukari cha Mkulazi kinachomilikiwa kwa ushirikiano kati ya Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) na Jeshi la Magereza.
Uwekezaji huo umetajwa kuwa miongoni mwa...