Na Mwandishi Wetu
SPIKA wa Mbunge la Tanzania, Mussa Azzan Zungu ametoa siku nne za kujieleza kwa wabunge walikwenda Morocco kuishangilia Serengeti Boys bila kibali katika fainali za AFCON -17.
Zungu amesema hayo leo Juni 4, 2026 bungeni Dodoma na kuielekeza Ofisi ya Katibu wa Bunge...
TAIFA limechafukwa. Kuchafukwa huku ni kutokana na kile ambacho maseneta wawili wa Marekani, Jeanne Shaheen na Ted Cruz wameandaa. Hiki ni muswada unaoitwa Reassessing the United States–Tanzania Bilateral Relationship Act kwa Kiswahili kisicho rasmi ni Muswada wa Sheria ya Mapitio ya Uhusiano wa Kimataifa...