Na Mwandishi Wetu
Rais wa Kenya, Dk. William Ruto amewasili nchini leo kwa ziara ya kitaifa ya siku mbili, ambapo kesho Mei 5, 2026 atalihutubia Bunge la Tanzania, jijini Dodoma.
Ruto amepokelewa kwa gwaride la heshima na mwenyeji wake, Rais. Samia Suluhu Hassan, Ikulu Dar es...
Na Mwandishi Wetu
Shangwe zimetawala katika Ukumbi wa Bunge jijini Dodoma leo Mei 4, 2026, baada ya gwiji wa soka duniani na nahodha wa zamani wa timu ya Taifa ya Ivory Coast na mchezaji wa Chelsea, Didier Drogba kutambulishwa mbele ya wabunge na wageni waalikwa.
Drogba,...