KATIKA siku za hivi karibuni kumekuwa na matamko ya operesheni mbalimbali za kurejesha uzingatiaji wa sheria, kanuni na taratibu katika matumizi ya barabara kwenye Jiji la Dar es Salaam.
Awali lilianza Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam kuwataka waendesha bodaboda wote na bajaji...
Na Mwandishi Wetu
MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Hamza Johari amesisitiza juu ya umuhimu wa kutambua mabadiliko na mageuzi makubwa ya kiteknolojia kunakopelekea ongezeko la matumizi ya Akili Bandia (AI), ndege zisizo na rubani, mifumo ya kidijitali na vitisho vya usalama mtandao.
Mwanasheria Mkuu wa Serikali...