Na Mwandishi Wetu
MCHUNGAJI wa kanisa la National Christian Assembly Daudi Mashimo, amesikitishwa na kauli ya Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba, iliyodai kuwa waliouwawa Oktoba 29, 2025 ni wengi kuliko waliouwawa kwenye vita vya Kagera.
Akizungumza na waandishi wa habari, mchungaji Mashimo alisema Hadi...
Na Mwandishi Wetu
BURUDANI na michezo mbalimbali vilitawala Tamasha la Kids Holiday Festival lililowakusanya mamia ya watoto wakati wa likizo, huku likiwa jukwaa muhimu la kuwajengea watoto uelewa wa masuala ya fedha, uchumi na ujasiriamali tangu wakiwa katika umri mdogo.
Tamasha hilo, ambalo Benki ya...