Na Mwandishi Wetu
SERIKALI imewaaga vijana 521 waliopata fursa za ajira nje ya nchi, hatua inayotajwa kuwa ni muendelezo wa juhudi za makusudi za kupanua wigo wa ajira kwa vijana na kuwajengea uwezo wa kushiriki katika uchumi wa kimataifa.
Akizungumza katika hafla ya kuwaaga vijana hao...
📌Ni katika muendelezo wa mkakati wa shirika wa kuwahudumia wananchi kwa ufanisi
📌Awasihi wananchi kutumia nishati safi umeme kupikia
Na Mwandishi Wetu, Kahama
NAIBU Waziri wa Nishati, Salome Makamba amekabidhi vitendea kazi vya usafiri kwa TANESCO Mkoa wa Shinyanga kwa lengo la kuimarisha utoaji wa huduma kwa...