Na Winfrida Mtoi
JUMLA ya waogeleaji 19 wamekabidhiwa bendera Mei 2, 2026 kwenda kuiwakilisha Tanzania katika Mashindano ya 17 ya Kuogelea ya Afrika, yatakayofanyika nchini Algeria kuanzia Mei 5 hadi 13,2026.
Mashindano hayo yatahusisha makundi mbalimbali yakiwemo timu ya vijana ‘junior team’, timu ya wakubwa ‘senior...
Na Mwandishi Wetu, Njombe
BODI ya Utalii Tanzania (TTB), imesema utalii wa michezo umeendelea kuwa nguzo muhimu ya kuongeza mapato kwa jamii zinazozunguka Hifadhi za Taifa, huku wananchi wa maeneo hayo wakinufaika kupitia fursa mbalimbali za kiuchumi zinazotokana na ongezeko...