SUALA la utawala bora halijawahi kuwa eneo rahisi katika uendeshaji na usimamizi wa ofisi za umma. Hii ni changamoto ya kidunia. Hata mataifa yaliyopiga hatua, nayo yanasumbuliwa na maadili ya uadilifu (noble principles) katika kusimamia ofisi za umma.
Kwa bahati njema kwa mataifa yaliyopiga hatua,...
Na Mwandishi Wetu
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Mahusiano), Deus Sangu ameongoza maadhimisho ya miaka 19 ya Kanisa la Huduma ya Neno la Upatanisho (WRC), linaloongozwa na Askofu na Nabii Nicolaus Suguye.
Katika maadhimisho hayo yaliyofanyika jijini Dar es Salaam, Waziri...