Na Mwandishi Wetu
Kaimu Kocha Mkuu wa timu ya Taifa, Taifa Stars Miguel Gamondi amemrudisha katika kikosi mshambuliaji Kelvin John, anayechezea Aalborg BK ya Denmark ambaye mara ya mwisho kuitwa katika kikosi hicho ilikuwa Machi, 2025.
Kelvin ni kati ya nyota wa Tanzania wanaofanya vizuri nje...
Na Mwandishi Wetu
WAKAZI mbalimbali wa Jiji la Dar es Salaam na Mkoa wa Pwani wameridhishwa na hali ya huduma ya maji katika maeneo yao inayozidi kuimarika na hawana hofu juu ya usalama wa huduma hii.
Upatikanaji huo wa maji unaoridhisha ni mkakati wa Mamlaka...