Na Jesse Kwayu
KATIKA mfumo wa utawala ambao chimbuko la madaraka ya dola ni wananchi, kama ilivyo Tanzania kwa mujibu wa katiba ibara ya nane, ni jambo la busara kwa kiongozi yeyote kusumbuka kutokana na hisia za wananchi.
Kusumbuka huko kuna maana nyingi. Kwamba kiongozi anakuwa...
Na Tatu Mohamed
MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imekamata tani 9.93 za dawa za kulevya za aina mbalimbali na chupa 1,795 za dawa tiba zenye asili ya kulevya katika kipindi cha Januari hadi Februari 2026.
Mbali na ukamataji huo, Mamlaka imeteketeza...