Na Mwandishi Wetu
Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Mhe Albert Msando, ameongoza ziara maalum ya viongozi wa Manispaa ya Ubungo katika chanzo cha uzalishaji maji Ruvu Juu kwa lengo la kujionea hali ya uzalishaji na usambazaji wa maji pamoja na kutafuta suluhu ya pamoja...
Na Winfrida Mtoi
MCHEZO wa kuogelea umezidi kushika kasi nchini kutokana na kuongezeka idadi ya washiriki na wadau kila siku, hali inayotoa picha kuwa mwamko kwa watanzania umekuwa mkubwa tofauti na miaka ya nyuma.Hilo linadhibitishwa na idadi kubwa ya washiriki waliojitokeza katika mashindano ya watoto...