Na Mwandishi Wetu
MKURUGENZI Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Lazaro Twange, amesema Shirika hilo linaendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya kimkakati ikiwemo kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia, kuimarisha miundombinu ya kusafirisha umeme kwenda Zanzibar na kuanzisha teknolojia mpya zitakazowarahisishia wateja kufuatilia matumizi...
Na Mwandishi Wetu
MAAFISA wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) wanaendelea kuwahudumia wananchi wanaotembelea Banda la TTCL katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba 2026), kwa kuwapatia elimu kuhusu huduma na suluhisho mbalimbali za mawasiliano na teknolojia za...