Na Winfrida Mtoi
MCHEZO wa kuogelea umezidi kushika kasi nchini kutokana na kuongezeka idadi ya washiriki na wadau kila siku, hali inayotoa picha kuwa mwamko kwa watanzania umekuwa mkubwa tofauti na miaka ya nyuma.Hilo linadhibitishwa na idadi kubwa ya washiriki waliojitokeza katika mashindano ya watoto...
Na Mwandishi Wetu
MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi ametembelea banda la Shirika la Umeme Tanzania ( TANESCO) kwenye kilele cha Maonesho ya Siku ya Mazingira Duniani yanayofanyika jijini Dodoma.
Mhe. Balozi Dkt. Nchimbi...