Na Mwandishi Wetu
YANGA imetwaa ubingwa wa kombe la Mapinduzi ikiifunga Azam FC kwa mikwaju ya penalti 5-4 katika mchezo wa fainali uliopigwa Januari 13, 2026 kwenye dimba la Gombani, Pemba.
Mchezo huo uliishia kwa sare tasa ndani ya dakika 90 za kawaida, hali iliyomlazimu mwamuzi...
Na Mwandishi Wetu
NYOTA wa zamani wa Yanga, raia wa Burkina Faso, Yacouba Songne, ametambulishwa rasmi na klabu ya Mbeya City akiwa miongoni mwa wachezaji waliosajiliwa katika kipindi cha dirisha dogo msimu huu ili kuimarisha kikosi hicho kinachonolewa na kocha Mecky Mexime.
Yacouba raia wa Burkina...