Na Tatu Mohamed
BARAZA la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET) limewahimiza wazazi na walezi kuwapeleka watoto wao katika shule zinazotoa elimu ya amali na mafunzo ya ufundi, likisema ndiyo njia ya kuandaa nguvu kazi yenye ujuzi itakayochochea maendeleo ya...
Na Mwandishi Wetu
Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA) imesema imejipanga kutumia Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) kuwaelimisha wananchi kuhusu matumizi salama ya kemikali, uchunguzi wa sampuli mbalimbali na huduma zinazotolewa na maabara zake zilizoidhinishwa...