Na Mwandishi Wetu
Bodi ya Usajili wa Wataalam wa Mipangomiji (TPRB) imeendelea kutoa huduma mbalimbali kwa wananchi na wadau katika Maonesho ya Kimataifa ya Sabasaba yanayoendelea jijini Dar es Salaam.
Katika banda la TPRB lililopo ndani ya Banda la Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo...
Na Mwandishi Wetu
BARAZA la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA CCC) linaendelea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu matumizi sahihi ya huduma za maji, umeme, mafuta na gesi katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam...