Na Mwandishi Wetu
KLABU ya Yanga imetozwa faini ya Sh 30 milioni kwa kosa la wachezaji na maofisa wa benchi la ufundi kukataa kutumia chumba rasmi cha kuvalia katika Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo, badala yake kutumia nyumba iliyopo nje ya uwanja huo upande wa...
📌Hajaridhishwa na kasi ya utekelezaji wa mkandarasi kwenye mradi
📌Aagiza ukaguzi maalum wa matumizi ya dola milioni 20 za malipo ya awali yaliyotolewa kwa mkandarasi kulinganisha na kazi zilizofanyika
📌Aelekeza kuondolewa mara moja kwa meneja wa mradi upande wa mkandarasi
Na Mwandishi Wetu
WAZIRI wa Nishati, Deogratius Ndejembi...