Na Mwandishi Wetu
TANZANIA na Urusi zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) ya ushirikiano katika sekta ya utalii, hatua inayolenga kuimarisha uhusiano kati ya nchi hizo mbili na kuongeza fursa za utalii, biashara na uwekezaji.
Makubaliano hayo yanaenda sambamba na kuanza kwa safari za moja kwa...
Na Mwandishi Wetu
MHITIMU wa mafunzo ya ufundi stadi kupitia VETA, Ernest Maranya, amebuni na kutengeneza mashine za kuongeza thamani ya mazao mbalimbali ya kilimo, hatua iliyomwezesha kujiajiri kwa kuanzisha kampuni inayotengeneza teknolojia za usindikaji wa mazao.
Maranya amesema kampuni yake yenye makao makuu jijini...