Na Mwandishi Wetu
KLABU ya Yanga imetozwa faini ya Sh 30 milioni kwa kosa la wachezaji na maofisa wa benchi la ufundi kukataa kutumia chumba rasmi cha kuvalia katika Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo, badala yake kutumia nyumba iliyopo nje ya uwanja huo upande wa...
KATIKA siku za hivi karibuni nimemkumbuka sana Profesa Seithy Chachage (08.01.1955 – 09.07.2006). Huyu alikuwa Mwalimu wa wengi. Alifundisha wengi, mimi ni miongoni mwa watu waliopita kwenye mikono ya Profesa Chachage. Apumzike kwa amani. Fikra zangu kwa Mwalimu huyu nguli wa masuala la sosholojia...