📌 Afungua Jukwaa la Wanasheria wa TANESCO jijini Mwanza
📌 Awasisitiza kutoa ushauri wa kisheria kwa wakati na kulinda maslahi ya Shirika
Na Mwandishi Wetu, Mwanza
MKURUGENZI Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Bw. Lazaro Twange, amewataka wanasheria wa shirika kuendelea kusimamia maadili ya taaluma, kutoa...
📌 Wafika asilimia 94 ya utekelezaji wake
📌 Kazi za uvutaji waya kwenye mradi kusababisha katizo la muda la umeme katika baadhi ya maeneo kwa ratiba maalumu
Na Mwandishi Wetu
SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema Mradi wa Njia ya Kusafirisha Umeme ya Msongo wa Kilovolti 400...