KATIKA juhudi za kurejesha utawala wa sheria (orderly administration) katika jiji la Dar es Salaam, Serikali ilipata kuivunja Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam. Uamuzi wa serikali ulifikiwa Juni 28, 1996 baada ya kujiridhisha pasi na shaka yoyote kwamba halmashauri hiyo ilikuwa imeshindwa...
Na Mwandishi Wetu
MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es salaam (DAWASA) imefanya operesheni katika Mtaa wa Majizzo katika Kata ya Kunduchi Wilaya ya Kinondoni na kubaini matumizi yasiyo halali ya maji yaliyokuwa yakitumika katika shughuli za kilimo cha mbogamboga ambayo imeingiza...