Na Mwandishi Wetu
Benki ya CRDB Bank kupitia CRDB Bank Foundation kwa kushirikiana na Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) na Kampuni ya Basil Link wamezindua mpango wa kimkakati wa ‘Imbeju – SmartElite’ wenye lengo la kuwawezesha vijana wa Kitanzania,...
Na WMA - Dodoma
MAFUNDI wa vipimo, waundaji wa mizani pamoja na wapimaji wa matanki ya kuhifadhia mafuta ardhini wameshauriwa kuelekeza nguvu katika vipimo vya kidijitali kutokana na maendeleo ya teknolojia yanayoleta mabadiliko kila siku.
Wito huo umetolewa na Mkurugenzi wa Huduma za Ufundi, Wakala wa...