📌 Lengo ni kupisha Mradi wa ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme 220kV Masasi, Mahumbika
📌Zaidi ya Shilingi Bil 5.1 zimetengwa kwa ajili ya zoezi hilo
Na Mwandishi Wetu
SHIRIKA la umeme Tanzania ( TANESCO) limezindua rasmi zoezi la ulipaji fidia kwa wananchi wanaopisha mradi wa...
📌Asema ni Mradi wa kimkakati wenye fursa za kiuchumi kwa maslahi mapana ya nchi
📌Amtaka Mkandarasi kukamilisha mifumo ya upokeaji umeme kutoka TANESCO
Na Mwandishi Wetu
MKUU wa Wilaya ya Kilwa, Mohamed Nyundo, ameipongeza TANESCO kwa jitihada na utayari wake wa kuhakikisha umeme unafika katika...