📌 Afungua Mkutano Mkuu wa Mwaka 2026 wa Maafisa Uhusiano na Huduma kwa Wateja TANESCO
📌 Asisitiza utoaji wa taarifa sahihi kwa wateja
📌 Aagiza kuboreshwa kwa maslahi ya watoa huduma kuongeza ufanisi wa utendaji kazi
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
NAIBU Waziri wa Nishati, Mhe. Salome...
Na Mwandishi wa OMH, Dar es Salaam
OFISI ya Msajili wa Hazina imekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa China nchini Tanzania, Chen Mingjian, pamoja na ujumbe wake, katika kikao kilicholenga kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi, uwekezaji na mageuzi ya mashirika ya umma.
Mazungumzo hayo yalifanyika jijini...