Na Mwandishi Wetu
OFISI ya Msajili wa Hazina (OMH) imesisitiza kuwa mustakabali wa mafanikio ya taasisi na mashirika ya umma nchini unategemea kwa kiwango kikubwa uimara wa mifumo ya utawala bora, uwajibikaji na uongozi wenye maono yanayolenga matokeo.
Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Utawala...
Na Mwandishi Wetu
MKURUGENZI wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Ephraim Mafuru, amemkaribisha nchini kwa mara ya kwanza bingwa wa masumbwi duniani, Terence Crawford, ambaye katika historia yake hajawahi kupoteza pambano lolote.
Ziara hiyo ya wiki moja nchini imeandaliwa kwa ushirikiano kati ya Wizara ya...