Kampuni ya Media Brains ikishirikiana na Shirika la Konrad Adenauer Stiftung (KAS) wanaendesha mafunzo kwa waandishi wa habari mkoani Manyara ya kuwajengea uwezo wa kuandika habari katika muktadha wa kidijiti.
Mafunzo hayo ambayo ni ya kivitendo zaidi yakiwajumuisha waandishi wabobevu katika tasnia, ni ya siku...
Na Mwandishi wa OMH
Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu, amefanya mazungumzo na Bw. Keith Liddell, Mwanzilishi na Mwenyekiti wa kampuni ya Lifezone Metals Limited, inayomiliki Tembo Nickel Corporation Limited kwa ubia na Serikali ya Tanzania kupitia Ofisi ya Msajili wa Hazina.
Mazungumzo hayo yalifanyika Jumatatu, Machi...