Na Mwandishi Wetu
MKURUGENZI Mkuu wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC), Raymond Mndolwa, ametoa pole kwa waandishi wa habari waliopata ajali ya gari mkoani Iringa walipokuwa wakirejea nyumbani wakitokea kuripoti Maadhimisho ya Miaka 49 ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Mndolwa, akiwa ameambatana na Mkuu...
Na Mwandishi Wetu
BARAZA la Wafanyakazi la Sita la TMDA limefanyika kwa ufanisi tarehe 5-6 Februari, 2026 katika Manispaa ya Morogoro, kwa kuwakutanisha wajumbe wa Menejimenti na kutoka kwa Watumishi wa TMDA kwa lengo la kujadili na kukubaliana masuala mbalimbali ya kitaasisi yenye mchango...