Na Mwandishi Wetu
WAZIRI Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba amekutana na Kamati ya Kitaifa ya Maandalizi ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2027) kwa ajili ya kupitia hatua mbalimbali zilizofikiwa katika maandalizi ya michuano hiyo mikubwa itakayofanyika mwaka 2027 katika nchi za Tanzania, Kenya na...
Na Mwandishi Wetu
TIMU ya Coastal Union imetembeza kichapo cha mabao 4-1 kwa maafande wa Magereza Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa leo Jumanne, Februari 10, 2025 kwenye dimba la Sokoine, Mbeya.
Mabao ya Coastal Union yalifungwa na Bakari Msimu dakika ya...