TAIFA la Tanzania ni nchi huru iliyojitawala kwa takribani miaka 65 sasa, tangu bendera ya Muingereza iliposhushwa Desemba 9, 1961. Taifa hili pia ni sehemu ya jumuiya ya kimataifa. Ndiyo maana tangu uhuru, Tanzania imekuwa ikisumbuka kwa kujihusisha na mambo mengi ya jumuiya ya...
📌Afungua Mkutano Mkuu wa mwaka wa Mameneja na Wakurugenzi wa Kanda, Dodoma
📌Asisitiza umuhimu wa kuongeza ubunifu katika ukusanyaji wa mapato
📌Awapongeza kwa kazi nzuri na kuendelea kuimarisha mahusiano na wadau
Na Mwandishi Wetu
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Bw. Lazaro Twange, ametoa rai...