Wabunge walifuata mkumbo kwenda Morocco kuishangilia Serengeti Boys lawakuta jambo

Na Mwandishi Wetu

SPIKA wa Mbunge la Tanzania, Mussa Azzan Zungu ametoa siku nne za kujieleza kwa wabunge walikwenda Morocco kuishangilia Serengeti Boys bila kibali katika fainali za AFCON -17.

Zungu amesema hayo leo Juni 4, 2026 bungeni Dodoma na kuielekeza Ofisi ya Katibu wa Bunge kuwaandikia barua za kujieleza kwa nini wamevunja kanuni za kibunge za kutoka nje ya nchi bila kuwa na kibali cha ofisi ya Spika.

Amesema wabunge hao wakishindwa kuleta majibu ndani ya siku hizo, watachukuliwa hatua za kinidhamu kulingana na kanuni.

Amebainisha kuwa kumekuwa na utoro usiovumilika bungeni, ambapo baadhi ya wabunge wanaomba vibali wakisema wanakwenda majimboni lakini wanakwenda nje ya nchi.

spot_img

Latest articles

NEWALA KUNUFAIKA NA UMEME WA UHAKIKA

📌*Ni baada ya kukamilika kwa njia ya kusafirisha umeme ya kilovoti 33 Masasi -...

SERIKALI YATANGAZA NEEMA KWA WAKULIMA KUPITIA VISIMA VYA UMWAGILIAJI

Na Mwandishi Wetu SERIKALI inaendelea na utekelezaji wa mkakati wake wa kuongeza tija...

Zawadi ya gari yawapa mzuka mabondia

Na Winfrida Mtoi Waandaaji wa pambano la Dar Boxing Derby wameweka gari aina ya Crown...

Nani anajali kurejesha hadhi Tanzania?

WIKI iliyopita haikuwa ya habari njema kwa Taifa la Tanzania huko duniani. Pamoja na...

More like this

NEWALA KUNUFAIKA NA UMEME WA UHAKIKA

📌*Ni baada ya kukamilika kwa njia ya kusafirisha umeme ya kilovoti 33 Masasi -...

SERIKALI YATANGAZA NEEMA KWA WAKULIMA KUPITIA VISIMA VYA UMWAGILIAJI

Na Mwandishi Wetu SERIKALI inaendelea na utekelezaji wa mkakati wake wa kuongeza tija...

Zawadi ya gari yawapa mzuka mabondia

Na Winfrida Mtoi Waandaaji wa pambano la Dar Boxing Derby wameweka gari aina ya Crown...