Aishi Manula afunguka ugumu wa kuikabili Uganda

Na Winfrida Mtoi

Timu ya Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars), imeanza mazoezi kujiandaa na michezo miwili ya Kalenda ya FIFA dhidi ya Uganda na Rwanda, ambapo  kipa wa kikosi hicho Aishi Manula  amesema haitakuwa rahisi.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Juni 1, 2026 katika viwanja vya Gymkhana jijini Dar es Salaam wanapofanyika mazoezi, Manula amesema  timu hizi zina upinzani mkubwa zinapokutana kutokana na ujirani.

Amebainisha kuwa  michezo inayokutanisha timu za ukanda mmoja huwa  hazitabiriki kwa sababu hakuna timu inayokubali unyonge mbele ya jirani yake, hali inayoongeza presha na uzito wa michezo hiyo.

​”Nadhani ujirani tulionao ndio utakaosababisha mechi ziwe ngumu zaidi kwa sababu kila mmoja anahitaji kupata ushindi ili kuendelea kujiona yuko kwenye nafasi bora zaidi ya mwenzake,”  amesema.

​Taifa Stars itavaana na Uganda  nyumbani Juni 5, kisha Rwanda Juni 9, 2026

spot_img

Latest articles

Kibabage aimpa mzuka Serengeti Boys kuelekea fainali ya AFCON

Na Winfrida Mtoi BEKI wa timu ya Taifa (Taifa Stars), Nickson Kibabage amesema kitendo cha...

‎Msigwa: Bwawa la Kidunda ni mradi wa kimkakati kwa Maji, Kilimo na Nishati

Na Mwandishi Wetu Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, ameipongeza Wizara ya Maji kwa...

DAWASA yafafanua sababu ya ukosefu wa maji maeneo ya Kibaha hadi Kisarawe

Na Mwandishi Wetu MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA)...

Tanesco yatambuliwa kama sekta wezeshi na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM)

📍Yapokea cheti cha pongezi kwa mchango wake katika kuendeleza elimu jumuishi 📍Utambuzi watolewa katika hafla...

More like this

Kibabage aimpa mzuka Serengeti Boys kuelekea fainali ya AFCON

Na Winfrida Mtoi BEKI wa timu ya Taifa (Taifa Stars), Nickson Kibabage amesema kitendo cha...

‎Msigwa: Bwawa la Kidunda ni mradi wa kimkakati kwa Maji, Kilimo na Nishati

Na Mwandishi Wetu Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, ameipongeza Wizara ya Maji kwa...

DAWASA yafafanua sababu ya ukosefu wa maji maeneo ya Kibaha hadi Kisarawe

Na Mwandishi Wetu MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA)...